Anaulizi saizi ya Chumba ili ajue kama kitanda cha 6*6 kitaweza kutosha,Size ya shuka? Au size ya godoro?
Size ya shuka? Au size ya godoro?
sawa kabisa...MTO wa pillow
najua kuwa kauliza madada, lakini nimeuliza ili wajue vizuriAnaulizi saizi ya Chumba ili ajue kama kitanda cha 6*6 kitaweza kutosha,
Si unajua uswazi vyumba vingine ni majanga?
Na kauliza wadada.