Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,280
Vitu used... teh teh tehWatanzania tunapenda mitumba. Vipya siyo imara!
Vitu used... teh teh tehWatanzania tunapenda mitumba. Vipya siyo imara!
Kwa kweli inashangaza.....ila wadada wengi wanasema watatu si mna governor inaruhusu watatu tu?!Unapima ili iweje?
Kwa kweli inashangaza.....ila wadada wengi wanasema watatu si mna governor inaruhusu watatu tu?!



wanasema mdada akikupa namba zidisha mara tatu. 








Kuna msemo unasema mwanamke ni kama swimming pool ukiamua kuogelea we ogelea tu usiulize nani na nani walioga humo kabla yakoGreetings
Kuna hili swala linakuwa discussed sana na vijana sehemu mbali mbali. Je kama wewe ni mwanaume, does body count matter unapomchagua mke wako? Kwa wanaume walio kuwa kwenye ndoa, ulimuuliza mwenza wako alilala na wanaume wangapi kabla yako wewe?
Ni idadi ipi iko normal and acceptable na ipi sio? is it 5, 10?
Sasa kama wife material inakuwaje wanaume 99 asipatikane huyo husband?Hivi kwa mwanamke kulala na wanaume wengi kunamfanya asiwe ''wife material''?
Ikiwa hivyo, basi wanaume wengi wameoa wanawake ambao sio wife material
Kwa wanaume wengi, ngono ni sehemu ya starehe. Mwanamke aweza kutoa mwili wake akidhani bf yupo serious na future, kumbe anapima 'oil' tu.Sasa kama wife material inakuwaje wanaume 99 asipatikane huyo husband?
Huwezi kupimwa oil na watu 99 halafu ukajiita wife material, waoaji wangekuona hata hujafikisha 10.Kwa wanaume wengi, ngono ni sehemu ya starehe. Mwanamke aweza kutoa mwili wake akidhani bf yupo serious na future, kumbe anapima 'oil' tu.
The good part of it, we live in the world of being independent, no one should submit to one another. If you love me take me the way I'm.Yaani as much as women hate it ila thats nature. It can't change
DUDE,KWA MUUJIBU WA MAANDIKO KATIKA BIBLIA,MWANAMKE AKITEMBEA NA WANAUME ZAIDI YA WA TANO(5) HUYOGreetings
Kuna hili swala linakuwa discussed sana na vijana sehemu mbali mbali. Je kama wewe ni mwanaume, does body count matter unapomchagua mke wako? Kwa wanaume walio kuwa kwenye ndoa, ulimuuliza mwenza wako alilala na wanaume wangapi kabla yako wewe?
Ni idadi ipi iko normal and acceptable na ipi sio? is it 5, 10?
Sasa kama umefikisha miaka 50 hujaolewa, hata kama ulikuwa na boyfriend mmoja kila baada ya miaka mitano, wengine walikufa na wengine walikuacha utafikisha tu hao watano.DUDE,KWA MUUJIBU WA MAANDIKO KATIKA BIBLIA,MWANAMKE AKITEMBEA NA WANAUME ZAIDI YA WA TANO(5) HUYO
ANAITWA KAHABA AU MBWA,MIMI NINGEULIZA NIWE NAUHAKIKA KAMA NIKAWAIDA AU KAHABA,KWA BAHATI NZURI MIMI NILIBAHATIKA VIRGIN LADY,KAMA NA WEWE NI CASANOVA YOH4;17-18
It doesn't matter kwasababu nkijua inanisaidia nini?Madam, let me just ask this.
Wewe does it matter kujua idadi ya wanawake your partner has slept with?
Hii topic ina reflect on both cases
Kuna kifaa kinaitwa X counter haina haja ya kumuuliza kichomeke kwenye uke wake utapata idadi .
Kinauzwa kwa mushk Arusha mkabala na NMB market.
