Does body count matter?

Does body count matter?

Seriously!!! Ukikuta seal imetolewa si unajua tu kua kuna alio/walio kutangulia!!!! Idadi ya nini sasa!
Idadi inamatter somtyms
Sio unaoa mke ukienda buchan jamaa kala
Ukienda gengen mwenye genge kala
Ukienda vijiwen ndo usiseme
Mke anamaex sabini
Kila utakapopita wanakuchora2
 
Idadi inamatter somtyms
Sio unaoa mke ukienda buchan jamaa kala
Ukienda gengen mwenye genge kala
Ukienda vijiwen ndo usiseme
Mke anamaex sabini
Kila utakapopita wanakuchora2
Too bad hakuna kiruka njia atakaetoa idadi kamili...
 
Does it make her less of a wife?
We unadhani toka uchangudoa umeanza hadi leo wale wauzaji hawajaolewa? Wengi tunaweza kua products za hao wanawake bila kujua lakini wapo wamedumu kwenye ndoa hadi leo.
Kuna na mwanamke alio na maex wengi ni virahisi sana kwa huyo mwanamke kucheat na ni virahisi kwake kuachana maana she has a larger room of comparison
Na lazima kuna kati ya hao aliowapenda zaid
Swali ni je??? Kati ya aliowapenda sana ni wewe au kaja kisa ndoa???
 
Kuna na mwanamke alio na maex wengi ni virahisi sana kwa huyo mwanamke kucheat na ni virahisi kwake kuachana maana she has a larger room of comparison
Na lazima kuna kati ya hao aliowapenda zaid
Swali ni je??? Kati ya aliowapenda sana ni wewe au kaja kisa ndoa???
Hapo sasaa!!!
 
What are you trying to say?
It's constant that it makes her less of a wife, unaweza kuwa na a someone mwenye a body count of 2 na bado awe hajatulia.

The topic here is the fact you know that a certain number of guys have slept with her.
Wrong
 
Don' bother...
8629a4047974ad0d870dbf76df18ba86.jpg
 
"kuuliza haisadii.... nakupenda ulivyo nakuchumbia hivyohivyo tunaanza safari ya ndoa hivyohivyo na tunaendelea mbele...historia ya wanaume uliokuwa nao haitanisaidia kamwe...!!!
cha muhimu umejifunza kutoka mahusiano yako ya nyuma..tumia ulichojifunza huko tuendeleze safari yetu...mambo ya kufanya reference za "John" sijui "Said" MARUFUKU...kama unafikiri una uhuru huo..not to that extent...after all sijakuuliza kuhusu MaX wako...as am not interested in knowing them. .." (DONE)
 
Hicho kifaa kikiweza kupima na wanaume, mbona itakuwa hatari?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom