jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,324
Ndo mtajuwa maana ya maridhiano...
1. Maridhiano gani mnayataka wakati vinavyosababisha mfanye maridhiano mnaendelea navyo..??
2. Cha kutueleza wananchi ni kwamba rudisheni hela mliyotumia... MWIGULU ALISHASEMA... Tatizo lenu CCM yeyote anayeleta mawazo mbadala huwa mnamwita msaliti... NYERER ALISHASEMA, CCM SI MAMA YAKE... sasa hao uliowaita wanaHAPANA, WAMEIRUDIA KAURI HIYO KIVINGINE...
3. Na kiwa nini muwahoji waliosema hapana pekee..?? Wale waliosema NDIYO kwa nini hawaitwi kuridhiana ili wajiunge na wanaHAPANA..??
4. Yaani hao saba/nane ndo mnawaogopa sana hadi kuwaundia kama ya maridhiano kuliko wananchi..??? JE IKITOKEA MWANANCHI MMOJA AKASEMA HAPANA, NAYE MTAMUUNDIA KAMATI YA MARIDHIANO..?? TATIZO MNA KELELE SANA KABLA YA KUVUKA MTO.
5. Mlidhani kura za wazi ndo mtashinda, sasa HAPANA ZA WAZI HAZICHAKACHULIKI..
MMESEMA WAPIGE KRA... KWA WAZI AU KWA SIRI KUTEGEMEANA NA MAAMUZI YA ANAYEPIGA KURA...
1. KWANINI KURA YA HAPANA IUNDIWE TUME..??
2. Kwa nini kura NDIYO haiundiwi tume..??
3. Waliowahi kupiga kura za hapana huko nyuma waliwahi kuundiwa tume..??
kwa kiasi kikubwa umeandika vizuri, ulipoalitaja kwa unafiki jina la naibu katibu mkuu ccm bara umeharibu kila kitu.