Wakazi wa Dodoma wako hapa wamekusanyika wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa awamu nyingine.
View attachment 3436596
Nemo judex in causa suaHakika huyu mama ni chaguo la Mungu, vox populi
Pole Pole anamtisha Samia anamwambia usichukue fomu!Hahaha hii Nimeipenda.
Ukiwa kiziwi unakua kiziwi kama hivi. Kama bwai na iwe mbwai.
Haya l, Tuambizane press ya pole pole ni sangapi
Mungu yupi?Hakika huyu mama ni chaguo la Mungu, vox populi
Wakazi wa Dodoma wako hapa wamekusanyika wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais kwa awamu nyingine.
View attachment 3436596