Leo unawarukaNi jambo jema!
Hakuna wabunge pale. Wabunge wako Kenya bwashee yaani hadi raha!
Mwenye akili ndogo anaweza kushangaa hii comment yako lkn upo sahihi kabisaaa hakuna kitu kigumu duniani kama kuongoza wajingaKuongoza 'wajinga na wapumbavu' ni kazi ngumu sana.
Ndugai a.k.a bosi wa covid19 ana kazi nzito sana.!
Wanamuwakilisha naniHahahaaaa...... sasa wale akina Halima Mdee ndio wabunge kweli?
Hahahaaaa! Sasa wale akina Halima Mdee ndio wabunge kweli?
Bwasheh leo umehamaNi jambo jema!
Hakuna wabunge pale. Wabunge wako Kenya bwashee yaani hadi raha!
Ila wabunge mule wangejua jnsi gani watu wanavyowachukuliadaaah hili bunge ni balaa
Wanamuwakilisha naniHahahaaaa...... sasa wale akina Halima Mdee ndio wabunge kweli?