Dodoma ni kutamu jamani

Ngoja wanaume wakuwekeeee
 
Matumizi ya L kwenye nafasi ya R....
Umenishangaza unaposema Goba ni pakishua....
Mbona location zote ulizozitaja ni Uswahilini choka mbaya,,sasa kama umekaa hadi Maandazi road, hauwezi ona uzuri wa Dar.
Kule ni uswahilini ila hawakai watoto wa mama
 
Nina kiwanja Dodoma kina hati natafuta mtu mwenye kiwanja Dar anaetaka tubadilishane. Kiwanja kipo Nzuguni karibu na stand ya nane nane kina hati.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Dar Nina viwanja vingi sana ndugu yg kama upo tayari nikakupe chanika kiwanja kina Banda la vyumba viwili eneo ni 20 kwa 20 upo tayari njoo bobo tubadilishane
 
Wakuja kama nyinyi ndio mnaishia kushangaa magari na magorofa ya wanaume wenzenu dar , huku mkiishi vingunguti, mnaishi kama makima ya polini
 
😂🤣😅Unagusa Manyigu
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
 
Mzilankende Alipapenda Sana Wakati Wa Uhai
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
 
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
Ushahidi bila picha
 
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
Hilo govi ulilionaje au alikuweka ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…