Dodoma ni kutamu jamani

Siwezi kumheshimu Wala kumuamini mtu R na L zinampiga chenga kuandika.
 
Sawa mke wa Sean paul
Sean Paul mwingine huyu wa Nowpsych, maku wewe.
Eti natumia jina la mwanaume mwezangu........do you know my real name?
Kama mi naitwa Paul na mwanangu ni Sean........nikaamua kuifanya ID yangu jina la mwanangu kuna tatizo?
Tatizo umekariri Sean Paul duniani ni mmoja tu. Maku we.
 

Attachments

  • IMG_20240422_231801.jpg
    129.6 KB · Views: 18
Siwezi kumheshimu Wala kumuamini mtu R na L zinampiga chenga kuandika.
Mimi simheshimu, namdharau na siwezi kukaa naye kufanya mjadala wowote. Yaani kama ni demu nilichukua namba, siku hiyo hiyo napiga chini.
Kama ni mtu mwingine najiepusha naye kabisa.
Mtu wa namna hii amekosa maarifa madogo kabisa. Ni kama asiye na akili.
 
"Vizuli" 😂🤣😂💩💩
 
Endelea kutumia majina ya wazungu watakuweka
 
Hilo Jina ulipewa na baba yko au ndio shobo
 
Akili huna
 
Nina kiwanja Dodoma kina hati natafuta mtu mwenye kiwanja Dar anaetaka tubadilishane. Kiwanja kipo Nzuguni karibu na stand ya nane nane kina hati.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
 
Matumizi ya L kwenye nafasi ya R....
Umenishangaza unaposema Goba ni pakishua....
Mbona location zote ulizozitaja ni Uswahilini choka mbaya,,sasa kama umekaa hadi Maandazi road, hauwezi ona uzuri wa Dar.
 
Matumizi ya L kwenye nafasi ya R....
Umenishangaza unaposema Goba ni pakishua....
Mbona location zote ulizozitaja ni Uswahilini choka mbaya,,sasa kama umekaa hadi Maandazi road, hauwezi ona uzuri wa Dar.
Mpuuzi tu huyu, mtu hata kutofautisha R na L hawezi atakuwa na akili ya kuchanganua mambo?
 
Kuna watu ni hodari wa kuiponda Dar.
Wa Kaskazini Utaskia Chugga ni nchi ile baba,
Wa Kanda ya Ziwa utaskia Mwanza ni bonge la jiji.
Wa Nyanda za juu,utaskia sifa kibao kuhusu Mbeya.
Na sasa kuna hawa wa Dodoma...
Tembelea hayo majiji yenyewe ndiyo utakapochoka....
  • Unaweza maliza zunguka hayo majiji kwa masaa mawili na ukayamaliza
  • Viwanja vya bara ni vya kuhesabika
  • Aina za bata ni za kuhesabika
  • Ukosefu wa baadhi ya huduma
  • Majiji ambayo ikifika saa 4 usiku, Usafiri unakoma.
  • Maeneo yenye mikusanyiko ya watu inahesabika
Arusha,Mwanza,Mbeya na Dom yanastihili sifa lakini siyo kwa kuiponda Dar...
Hakuna jiji la kuifikia Dar ndani ya nchi, ukweli wenye kuuma.
 
Mpuuzi tu huyu, mtu hata kutofautisha R na L hawezi atakuwa na akili ya kuchanganua mambo?
Yan,Kakaa uswahilini tupu halafu anaiponda Dar,hahaha....
Wakati huku Dar tuna omba omba wa Kigogo kibao.
 
Matumizi ya L kwenye nafasi ya R....
Umenishangaza unaposema Goba ni pakishua....
Mbona location zote ulizozitaja ni Uswahilini choka mbaya,,sasa kama umekaa hadi Maandazi road, hauwezi ona uzuri wa Dar.
Mimi mtoto wa uswazi , mimi sio wa uzunguni wewe kama unakaa mbweni hongera , ila wote tunapumua na pia goba huwezi linganisha na mbagara au chanika
 
Yan,Kakaa uswahilini tupu halafu anaiponda Dar,hahaha....
Wakati huku Dar tuna omba omba wa Kigogo kibao.
Hapo umekosa akili kwa kuponda wenye kabila , ungeenda kwenye mada yg sio kuchanganya kabila , inabidi uwaombe radhi hapo mimi nimekutoa akili
 
Kwenye swala la usafili ni pesa yko tu , Sasa dar usafili upo ila mnaishi kama misukule kusukumana kwenye daladala kutwa , yaani watu mnaingia kwenye mwendo Kasi mnabanana Hadi mnazimia kama mazuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…