Dodoma: Mwanafunzi atiwa mimba na moja ya wapenzi wake 7!

Hapo ndipo utakapoamini kwamba wanawake noma!
Njemba saba halafu zote hazijuani!!
 
Science huwa hakuna kubishana hata siku moja. facts zinasomwa kwa kuelewa. Paper ina references, soma kila kitu taratibu.

Mwanjelwa, umedai kwamba mabinti wa mikoa ya kati wanawashwa na mdudu huyu halafu wanadhani ni hamu ya ngono. Ukadai dawa ya ``kitaalam`` ya kukunwa ni ngono.

...Hawa wabinti hasa central line wakiaanza kupevuka, trichomas vaginaris inavamia maeneo ya chini huko inawawasha sana, wanadhani ni hamu ya sex kumbe infection! Kitaalamu best way ya kukuna ni sex, matokeo yake ndiyo haya...hasa hii central line,,,,,Mororgo, Dodoma, Singida, Tabora, Shinganya mpaka Mwanza.

Ukaulizwa, kama hili tatizo ni la ki-biologia kwa mujibu wa maelezo yako ya kitaalam, kwa nini mabinti wa mikoa hiyo sita ndio haswa wana biologia hiyo ?

Ukaenda kutunga theory kwamba mikoa ya kati haina maji ndo maana watu ni wachafuchafu. Matokeo yake gonjwa la mdudu sehemu za siri limezidi!!

Tena ukaleta reference ya paper, lakini paper lenyewe linazungumzia jinsi ya kuagua, ku-diagnose ugonjwa huu kwa kutumia polymerase chain reaction. That's it. Ukaambiwa theory yako - kwamba wanawake wa mikoa ya kati ni wachafuchafu ndo maana wanapata wadudu sehemu za siri - ni uongo kwa sababu reference ulosema tukaisome haiongelei hicho kitu.

Baada ya kukamatwa uongo sasa unadai hukusema kwamba wanawake wa mikoa ya kati ni wachafuchafu ndo maana wanapata mdudu sehemu za siri. Na hiki nini hiki:

... Kwa TZ research inaonyesha yuko prevalence mikoa niliyotaja kwa sababu ya low hygiene inayosababishwa na upungufu wa maji maeneo mengi
 
[

Baada ya kukamatwa uongo sasa unadai hukusema kwamba wanawake wa mikoa ya kati ni wachafuchafu ndo maana wanapata mdudu sehemu za siri. Na hiki nini hiki:[/QUOT


Duh, ndiyo analysis yako ilipokomea hapo!Pole sana Kuhani. Tuko kwenye frequencies tofauti kabisa kishule. Sikuweza kujua hili kabla. Lakini information itawafaa zaidi wenzako. karibu sana muda mwingine. Lakini science ndiyo ilivyo. Inahitaji brain hasa. NO wonder wengi wanaikimbia.
 
Hapo ndipo utakapoamini kwamba wanawake noma!
Njemba saba halafu zote hazijuani!!

...njemba hazijuani, lakini message delivered;

Pamoja na mimba, kwa hesabu za haraka haraka, mzunguko wa STD (Sexually Transmitted Diseases) ushajumuisha mzunguko wa watu karibia 15 hapo!
 
...Pole sana Kuhani. Tuko kwenye frequencies tofauti kabisa kishule. Sikuweza kujua hili kabla. Lakini information itawafaa zaidi wenzako. karibu sana muda mwingine. Lakini science ndiyo ilivyo. Inahitaji brain hasa. NO wonder wengi wanaikimbia.

Unakimbilia nsomile eenh?

Haya wewe mwenye shule hebu eleza basi reference ya polymerase chain reaction diagnosis uliyotuletea hapa inahusiana vipi na kuenea kwa Trichomonas vaginalis katika ``mikoa ya kati ``yenye wanawake wachafuchafu ``kutoka na sehemu hizo kutokuwa na maji`` ? Hebu eleza kama wewe kweli nsomile.

Unakimbilia kusema wengine watafaidika eenh? Hao wengine wameridhika, mimi ndio naomba maelezo, nijibu, show and prove that crippity crap to me, maana si uliweza kufanyiwa peer review na wasomi wenzako waliokupitisha pseudo kama wewe?

achana na KU-ha_ni... point yako imeeleweka(regardless ya mapunngufu, kitu ambacho ni cha kawaida).

Sasa Chinkala, kama kuna mapungufu katika maelezo ya ``kitaalam`` ya huyu mchangiaji, kuna ubaya gani kuwekana kwenye mistari?

Unasema aendelee kuelimisha jamii wakati umekubali kwamba inawezekana kuna mapungufu. Kwa hiyo Kuzatika unaona ni sawa aendelee kupotosha ukweli ?

Kama mtu kakosea anarekebishwa tu, hilo sio baya YournameisMIKEJONES.
 
...Lakini hii nayo haijatulia..wanaume 7 kumtia mimba demu kwa wakati mmoja? au walimpiga mtungo??? Hata kama ni mtungo mwenye kubahatisha ni mmoja tu....wasubiri mtoto akizaliwa wakapime DNA..

Nani wa kupima DNA hapo? Namaanisha nani atakae ingia gharama za kufanya hiyo test?Je hao wanaume watakubali kweli?ukizingatia binti ni mwanafunzi!

Huyu mwanafunzi anakiranga kweli,haistaajabishi ukimwi bado unatunyanyasa.
 
Bro,

achana na KU-ha_ni, kila kitu anajua yeye!! Njemba hiyo ni lawyer, engineer, doctor (kupita hata Dr. Masau), biologist, chemist, physicist, sociologist, psychologist na kila kitu hapa duniani...hata u-CD, yeye ni zaidi kupita hata wale wa Ohio St. Kwa ufupi jamaa ipo negative juu ya kila kitakachoandikwa hapa na mtu ambaye si "rafiki" yake!! Shame.

Utauumiza kichwa bure, point yako imeeleweka(regardless ya mapungufu, kitu ambacho ni cha kawaida). Keep it up kuelimisha jamii na usivunjwe moyo na mijitu yenye roho ya kwanini dizaini ya jamaa!!

Kimasimasi chema, na usiruhusu funza kama huyo ( Braza K) kuingia kwenye ubongo wako....

yay..;)



Nimekubali. Thanks.
 
TV is STD period! Ukosefu wa maji unaingiaje wajameni?

Halafu symptom mojawapo ni kuwa inasababisha discomfort wakti wa nanihii na wakti wa kukojoa..

Sasa inashangaza kidogo mtu anapokuja na kusema eti TV inamfanya mtu atafute tiba ya NGONO?

Naomba tuwe na uhakika na tunachoandika next time..
 
Halafu symptom mojawapo ni kuwa inasababisha discomfort wakti wa nanihii na wakti wa kukojoa..

Sasa inashangaza kidogo mtu anapokuja na kusema eti TV inamfanya mtu atafute tiba ya NGONO?[/COLOR]

Naomba tuwe na uhakika na tunachoandika next time..


STDs nyingi, ikiwemoTV, kero yake ukeni ni kubwa sana in terms of itching kwa nje na ndani ya vagina. Tiba yake si ngono kama unavyotaka kuelewa. Hapa mwenye huo ugonjwa, mwanzoni vitu anavyohitaji ni kujikuna au kukunwa. Bila shaka umeshawahi kumwona mwanamke kasimama akijikuta kunako sehemu. Si lazima iwe trichomoniasis, bali uwezekano mkubwa ni hiyo. Inapokuwa kwa ndani ngono inasaidia. Hali inakuwa mbaya katika advanced stage inakuwa kero zaidi na maumivu makali sana, uwezekano wa kunuka pia mkubwa kwa sabau ya secreations zinazotokana na activity hiyo protozoan.

Ngumu sana kuelewa hii kitu. Ni science.. Muhimu mwone daktari akupe maelezo sahihi kulingana na sehemu uliyopo.
 
STDs nyingi, ikiwemoTV, kero yake ukeni ni kubwa sana in terms of itching kwa nje na ndani ya vagina. Tiba yake si ngono kama unavyotaka kuelewa. Hapa mwenye huo ugonjwa, mwanzoni vitu anavyohitaji ni kujikuna au kukunwa. Bila shaka umeshawahi mwanamke kasimama akijikuta kunako sehemu. Inapokuwa kwa ndani ngono inasaidia. Hali inakuwa katika stage advanced inakuwa kero zaidi na maumivu makali sana.

Ngumu sana kuelewa hii kitu. Ni science.. Muhimu mwone daktari akupe maelezo sahihi kulingana na sehemu uliyopo.

Maelezo yako ni very contradictory..

1. TV ikiwa ni STD it doesn't depend on space (x,y,z) wala muda ..Hivyo maelezo yako kuhusu mikoa.. si sahihi

2. Kusema kuwa dalili ya mwanzo ni kuwashwa si sahihi..

3. Kuishia kusema science ni ngumu ni kukimbia maswali, kama ni ngumu whats the point to try teaching others something you are not knowledgeable off?

4. Kama hukumaanisha kuwa kuwashwa ni dalili, na hivyo kufanya ngono ni 'kujikuna', whats the point of your ideas in this thread?
 
Maelezo yako ni very contradictory..

1. TV ikiwa ni STD it doesn't depend on space (x,y,z) wala muda ..Hivyo maelezo yako kuhusu mikoa.. si sahihi

2. Kusema kuwa dalili ya mwanzo ni kuwashwa si sahihi..

3. Kuishia kusema science ni ngumu ni kukimbia maswali, kama ni ngumu whats the point to try teaching others something you are not knowledgeable off?

4. Kama hukumaanisha kuwa kuwashwa ni dalili????!!!, na hivyo kufanya ngono ni 'kujikuna', whats the point of your ideas in this thread?


Sikumaanisha??!! Check with your doctor. Ndiyo huwa tunashauri. Utapata picha nzuri ya afya yako
 
STDs nyingi, ikiwemoTV, kero yake ukeni ni kubwa sana in terms of itching kwa nje na ndani ya vagina. Tiba yake si ngono kama unavyotaka kuelewa. Hapa mwenye huo ugonjwa, mwanzoni vitu anavyohitaji ni kujikuna au kukunwa. Bila shaka umeshawahi kumwona mwanamke kasimama akijikuta kunako sehemu. Si lazima iwe trichomoniasis, bali uwezekano mkubwa ni hiyo. Inapokuwa kwa ndani ngono inasaidia. Hali inakuwa mbaya katika advanced stage inakuwa kero zaidi na maumivu makali sana, uwezekano wa kunuka pia mkubwa kwa sabau ya secreations zinazotokana na activity hiyo protozoan.

Ngumu sana kuelewa hii kitu. Ni science.. Muhimu mwone daktari akupe maelezo sahihi kulingana na sehemu uliyopo.


Kweli kazi ipo na wataalamu wetu mnatuchanganya tu
au mmoja wenu ni Kihiyo? anazuga?
 
Hakuna anayejuwa kuwa that was the case( TV) with binti huyo wa kidato cha pili...Certainly hatujui kama ni kwasababu ya infections zilizotajwa na wachangiaji kadhaa...Na hivyo basi pointi ni kuwa wanaume saba walikuwa wanachangia mwanamke mmoja bila condom.
Pili nakubaliana na hoja za baadhi ya member kuwa elimu ni lazima itolewe kwa mabinti hao...Lakini tusisahahu kuwa kuna kurubuniwa kwa mabinti hao.
Watu wameshupalia kuwa binti alikuwa anawashwa...Nakubaliana na analysis za kitaalam ie biology...Ila Hatuangalii upande wa pili ambapo wabinti wamekuwa pia wakighilibiwa mara nyingine pia ni kwasababu ya shida,njaa, tamaa ya vitu vizuri kama cellphones nk.
Ni vizuri tukaupanuwa mjadala huu kwani ni wazi hata vijana hao wanaweza kuwa wanatembelea hapa...Waondoke na mawazo positive.
 
...sasa na nyie mpaka 'awaambie' kuwa hiyo ni experience yake aliyoipata wakati anaishi mikoa hiyo? ...aaaah, sio vizuri jamani kumsakama mwenzenu hasa linapokuja suala la kujaamiiana na mabinti toka huko...:(
 
Back
Top Bottom