RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,851
Watu wa uchumi huwa wanatanguliza neno "ceteris paribus" ie with other conditions remaining the same.Ndio ni kijana, lakini kinguvu si sawa kwa umri huu katika kukabiliana na changamoto za utafutaji wa mahitaji yake.
Ina maana mtoto akifika 20 baba ana 60.....akhaaa!!!
Mtoto akiwa na 30 baba 70, uwiano 0 hapo.
Mie mwanangu nimemzaa nikiwa na 16, yuko form 3, nina uhakika wa kumlea na kuwaona mpaka vijukuu vyake.
We unadhani huyo atawahi kuviona, tena mtoto mwenyewe alikuwa wa kiume (r.i.p)?