johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,258
- 142,440
Kikao kimefanyika kwa mujibu wa kanuni!"watakabidhi ripoti kwa mleta shauri ambaye ni Spika wa bunge kwa hatua zaidi za kisheria."
Kwani amekwishapatikana na makosa?
Mbona kuna hatua zaidi za kisheria?
Na kwanini hatua hizo zichukuliwe na alieleta madai?
Maswali ni mengi mno!
Sent using Jamii Forums mobile app