Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,364
Niwakati mwafaka wa kuelezea udhaifu wa Bunge mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya BungeMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof Mussa Asad amewasili bungeni, Dodoma kuitikia wito wa kufika katika kamati ya maadili
CAG tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuhusu madai ya kudhalilisha Bunge, inadaiwa alisema bunge ni dhaifu.
UPDATES:
View attachment 1000982
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad akiwa tayari amefika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge Muda huu mjini Dodoma kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge akiwa ziarani nchini Marekani.
Kuna watu wana penda misifa
Safi sana Komredi alhaj Prof Assad........ Mwaga madini mkuu wangu!Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof Mussa Asad amewasili bungeni, Dodoma kuitikia wito wa kufika katika kamati ya maadili
CAG tayari kwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuhusu madai ya kudhalilisha Bunge, inadaiwa alisema bunge ni dhaifu.
UPDATES:
View attachment 1000982
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Assad akiwa tayari amefika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge Muda huu mjini Dodoma kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge akiwa ziarani nchini Marekani.
yes vijana wa uvccm hawakawii kummaliza huyu GAG hapo Dodoma.Akitoka asisahau kuvaa bullet proof, Dodoma hiyoo
hii kamati imejaa wenye leaving cert.tu akitoa neno la kitaaluma wanatafutana
wapige picha na kula chakula cha mchana mambo yaishe
Angalia mkuu na wewe usijeitwa kuhojiwa kwa sababa ya kutumia neno " DHAIFU" alafu ukumbuke na bakora ya Ndugai🤣🤣NDUGAI NI SPIKA DHAIFU SANA ALIYEWAHI KUTOKEA TANZANIA ZAIDI YA MAMA MAKINDA
Mpaka sasa ndie spika alivurunda hilo halina ubishiDah..
Naona jamaa katumia hekima sana kwenda.
Cha ajabu eti taarifa zinasema sio Spika aliyemuita, ila ni kamati ya maadili iliyomuagiza Spika amuite kuhojiwa.
Kinachofuata hapo jamaa ni kuibuka mshindi tu, halafu soon Jiwe anaitisha shughuli ya kitaifa anamualika Assad na kumsifia mambo yanakwisha.
Ndugai ajiangalie sana.
Jiwe si mwanasiasa.
Atamharibia sana political carrier yake, na baadaye Ndugai ataonekana kama Spika aliyevurunda Tanzania.
si kuvurunda pekee , nakutia aibu pia .