Dodoma leo: Waraka wakusanywa

Dodoma leo: Waraka wakusanywa

Waraka huo wanakusanya ili nini? Nani anajua kuwa wote wanakusanya? Lengo lilikuwa wawe nao au wausome? Kila kitu ni ubatili na kujilisha upepo.
 
huo waraka umeandikwa na yericko nyerere na ben saanane pale ufipa.
 
ccm inafanya siasa za kishamba na zilizopitwa na wakati vibaya mno ! Hivi ni akina nani ni washauri wa hiki chama ? HAKIKA CCM ITAKUFA NA HAITARUDI TENA .

Kabla CCM haijafa,itatangulia CDM kwanza kurudi ilipotoka


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
sijamuona Msalani aje hapa atetee kwa maslahi ya lumumba,ccm walisha kosa mamlaka mda mrefu sana ya kutawala
kinacho waweka madarakani ni vyombo vya usalama wa nchi tu,
jana HAPHREY POLEPOLE kamishina wa tume ya mabadiliko ya katiba alisema jambo moja kuwa waraka wa ccm umesha feli kabisa maana yale mambo ya msingi hasa ya kudhibiti madaraka ya rais wao ccm wamesema kuwa yatungiwe sheria,
sasa kama ccm wao wenyewe hawataki madaraka ya rais yadhibitiwe wameridhika na utawala huu na hizo zilizotengulia,maana anaamka rais LEO anasema MVURA wewe ni katibu wangu hotuba,na hakuna mtu yeyote anayeweza hata kuhoji
ccm uwezi mpa mtu kama Nape ukatibu wa itikadi na uenezi zao la daraja la 4 la mwisho ukategemea mikakati yako isivuje
ha ha ha...., mkuu hapo mwisho umeuaaa
 
namuota mkeo wa kichina

Wakati mnayafanya hayo muwe mnajua jua kwa sasa mnajijali ninyi na matumbo yenu lakini mnasahau kuwa kuna vizazi vyenu vinavyo vitakavyo kuwepo wakati ninyi mkiwa wazee ndivyo vitakavyo umia zaidi na huo mfumo wenu.
 
Back
Top Bottom