utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Vibaraka wa slaa mnahangaika kweli
Ukiwa na njaa af ukavurugwa lazima uitukane ccmHahahaah CCM kweli akili hakunA
Mkuu Tupatupa, ni kweli tumeangushwa kura za wazi? Mbona mimi siamini kama kuna anayeweza kutuangusha sisi chama dola jamani.Katika kile kinachoonekana kama kugonga mwamba kwa chama tawala (CCM) kusambaza Waraka wa Siri unaobeba Rasimu Mbadala ya Katiba mpya, chama hicho kimeamuru kukusanywa mara moja kwa Waraka huo ili asakwe aliyeuvujisha kabla. Chanzo cha kuaminika toka Makao Makuu ya CCM hapoa Dodoma kinasema kuwa CCM imetaharuki baada ya kugundua kuwa Waraka huo umeshawafikia hadi Wajumbe wapinzani.
'Mambo ni magumu kwetu. Leo umeona tulivyoangushwa kwenye 'kura ya wazi'. Sasa chama kinakusanya Waraka wake. Sina hakika kama huo ndio utakuwa mwisho wa udhibiti wa chama kwa Wajumbe wanaofungamana na chama kwakuwa Waraka huo ndio msimamo wa chama.' kilisema chanzo hicho
'Mambo ya msimamo ni magumu sana. Nadhani,chama kingeweka utaratibu wa kuelimisha Wajumbe taratibu hadi wajue kwanini CCM inasimamia mambo fulanifulani. Hii ya kulazimishana,itaiaibisha chama hapo mbeleni. Hakuna elimu yoyote itolewayo kwa wana-CCM waliopo hapa Dodoma zaidi ya kumezeshwa tu msimamo wa chama.' alisema Mjumbe mmoja wa Bunge la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkoa wa Mara (CCM)
Siasa za chama changu hunishangaza sana. Waraka ulishasambaa na kusomwa. Itasaidia nini kuukusanya muda huu? Utakusanywaje?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)
chadema tumeanza na mungu tutamaliza na mungu
Ccm daima
Tafadhari mkuu, naomba ukiweza, scan ututumie hapa labda ni mzuri. Tatizo ni hizo siri zao.N a huu ambao ninao si waje kuukusanya pia ?
Kwan CCM n kina nan kama sio WaTz?
Sent from my iPhone using JamiiForums.
Duhh! naona umeandika huku ukiona AIBU, pole sanaCcm daima