Dodoma kuendelea kuwa makao makuu...

Dodoma kuendelea kuwa makao makuu...

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,153
Reaction score
137,159
Kama hiki alichokisema Waziri Mkuu Majaliwa leo ni cha kweli [siku hizi ni muhimu kuzi qualify kauli zetu zinazowahusu viongozi wetu], basi serikali hii ya Mama Samia itaendelea kufanya kazi ikiwa Dodoma, na si kurudi tena Dar.

Kama hivyo ndivyo, basi ni jambo zuri sana. Maana hakuna haja ya kurudi tena Dar na kuingia gharama zisizo na ulazima.

Sikupenda na sikuona ulazima wa kuhamia Dodoma. Lakini kwa vile ishatokea, basi waendelee nayo tu hivyo hivyo.

Hii ni habari njema!

 
Hala hala asije anasema uongo tena msikitini maana alimkosesha jiwe kuombewa na watanzania sababu zake binafsi ...kwa hilo sitampenda kamwe
 
Hala hala asije anasema uongo tena msikitini maana alimkosesha jiwe kuombewa na watanzania sababu zake binafsi ...kwa hilo sitampenda kamwe
Ndo hapo sasa...

Wengine wanahoji....Magu alikufa kweli Machi 17 au..?
 
Nyani mr.katelefone haaminiki sana toka alipo tuhadaa kwamba jiwe liko salama wakati dhoofli hali simuaminigi sana ila kwakuwa maza kaya yupo huko ugogoni hamna mbaya tumuache tu abaki huko
 
Nyani mr.katelefone haaminiki sana toka alipo tuhadaa kwamba jiwe liko salama wakati dhoofli hali simuaminigi sana ila kwakuwa maza kaya yupo huko ugogoni hamna mbaya tumuache tu abaki huko
Haaminiki na Nani?
 
Ikulu iko Dar es salaam, Dodoma kuna nyumba ya Rais.
 
Ndiyo Aliyesema Hayati Mnataka Kumuona Kariakoo
Jipe Muda Kidogo Huyo Sasa Hivi 😏😏😣😣
 
Back
Top Bottom