Dodoma: Dawa ya Wabunge wa CCM wakosoaji yapatikana

Mbunge gani wa CCM ameongelea mgao wa 10M? Mbunge gani wa CCM ameshawahi kuongelea ununuzi wa boat ya Bagamoyo? Mjadala wa Lugumi umeishia wapi? Mmetupatia Katiba mpya wabunge wa CCM?
Hujitambui we zungusha tu

Mbunge gani wa CCM ameongelea mgao wa 10M? Mbunge gani wa CCM ameshawahi kuongelea ununuzi wa boat ya Bagamoyo? Mjadala wa Lugumi umeishia wapi? Mmetupatia Katiba mpya wabunge wa CCM?
 
Kuanzia sakata la Richmond ...ni wabunge wa CCM ndio waliokuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali.

Sijui kiherehere cha wapinzani kinatokea wapi?
Kwa hiyo wapinzani wakiikosoa serikali utasema wana "kiherehere"? Una maana ni CCM peke yao waliokosoa serikali kwenye sakata la Richmond?
 
"ukoo wa kichawi,hupanga mambo kichawi na hufanya mambo kichawi"..hivyo ndivyo uko wa watawala ufanyavyo!!
 
Niko hapa Dodoma tangu mwanzoni mwa juma hili. Nashuhudia mtifuano usio na mfano wa Wabunge wakiuliza maswali, wakichangia hoja na kadhalika. Nawashuhudia Wabunge ndani na nje ya Bunge hapa Dodoma.

Kumejitokeza Wabunge wa CCM wanaojichora kama wakosoaji wa utendaji wa Serikali ya Rais John Pombe Magufuli. Wabunge hao wamejichora kwa kauli, michango na hoja zao. Wabunge hao wanahatarisha kupitishwa kwa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari.

Dawa ya Wabunge hao imepatikana. Ndani ya CCM hakishindikani kitu. Maelekezo yametolewa kwa viongozi wa Wabunge wa CCM kuwasilisha majina na 'hoja-korofishi' za Wabunge hao ili wajadiliwe na 'kuonywa' kichama. Kuna mkutano maalum wa Wabunge wa chama (party caucus) utaitishwa kwa ajili yao.

Pamoja na hayo mambo ya kichama na udhibiti wake, naliona Bunge likirudi katika kuisimamia Serikali. Linarudi kwenye mstari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
mkuu mzee tupa tupa DAWA HII HAPA
 
"ukoo wa kichawi,hupanga mambo kichawi na hufanya mambo kichawi"..hivyo ndivyo uko wa watawala ufanyavyo!!
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.


CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2015 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya umeme, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha, EPA na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.


It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave in a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits the minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.


What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that many Tanzanians hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrendously, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Back
Top Bottom