Dodoma: Dawa ya Wabunge wa CCM wakosoaji yapatikana

Hivi hizi fedha wanazogawana sio zile zilichangwa na wahisani kwa ajili ya wahanga wa tetemeko kule mkoani kagera
 
Tofautisha upinzani na saccoss mkuu!
Mkuu jingalao kuna mtu umemjibu vizuri sana hapo juu, nikajua sasa Jingalao kazaliwa upya kumbe....mmhh! Haya kama msajili wa vyama vya siasa anasajili saccoss, basi atakuwa Jingalao kama wewe!
 
Great thinkers asked this similar question when Major opposition party, Chadema under the chairmanship of Mbowe welcomed and cherish the accused father of grand corrupter...

The famous Richmond dady was born again under the name of Mabadiliko.

Mbowe used to deny that,the so called fisadi could never be the member of Chadema...OVER MY DEAD BODY ...

All over sudden it is the same Chairman who justified the Shift of story about fisadi....

It was the same Chairman who turn to be a ' stone face' against his general secretary Dr Slaa .

It is now the same chairman who is asking a childish question about 10 million Takrima.

HOW CREDIBLE IS MBOWE AND HIS FOLLOWERS??....GOD ALONE KNOWS.
Hivi akiwa huko CCM mlishindwa kumkamata na kumfunga huyu Fisadi papa?

OK now,
Yuko opposition bado tu mnamshindwa?

So huyu mtu ni zaidi ya serikali ya Tz.
 
Kangi Lugora anawashangaa mawaziri na Rais, ilikuwaje pesa za umma zikarundikwa pale BoT badala ya kuwekwa kwenye mabenki yanayofanya biashara! Ni nani alitoa ushauri huu?
 
UKUTA imeishia wapi? au Tangu tufyonze MAFISADI ya CCM tumeshapoteza NGUVU YA UMMA. siku hizi tukitishiwa tu tunaufyata maana hakuna wa kutusupport.

Hata hauelewi naongelea kitu gani. Kwanini usitulie kidogo ukaweza kusoma na kuelewa nilichoandika? Hii kasumba ya kuhusisha kila anaekosoa CCM na chama kingine cha siasa unaitoa wapi? Sijawahi na wala sitawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Kama wewe hizo kashfa hazikukuathiri, Mimi kama mwananchi wa kawaida zimeniathiri kwa kua pesa ya umma imetumika isivyopaswa.

Hayo mambo ya ukuta jadili na wenzio mnaoshabikia kila jambo kwa hisia bila kutafakari.
 
Great thinkers asked this similar question when Major opposition party, Chadema under the chairmanship of Mbowe welcomed and cherish the accused father of grand corrupter...

The famous Richmond dady was born again under the name of Mabadiliko.

Mbowe used to deny that,the so called fisadi could never be the member of Chadema...OVER MY DEAD BODY ...

All over sudden it is the same Chairman who justified the Shift of story about fisadi....

It was the same Chairman who turn to be a ' stone face' against his general secretary Dr Slaa .

It is now the same chairman who is asking a childish question about 10 million Takrima.

HOW CREDIBLE IS MBOWE AND HIS FOLLOWERS??....GOD ALONE KNOWS.
Ok you have a point, but please do not tell us that the question was a childish one. Let the truth prevail.
 
So, hutaki upinzani..? mbona mm CCM na nawasikiliza..? kwnn CCM wenzangu hampendi challenge au kujifunza KUSIKIA MSIYOYAPENDA..? Mnataka kuwa single minded tu, why..? Kwani hujui dunia ya leo wapinzani wako kihalali na ni dunia nzima ktk nchi za democrasia..!!

We CCM, lazima tujifunze kusikia tusiyoyapenda na kuyatafakari, sio yote ni ya uongo toka upinzani, na nikiri, wapinzani wana hoja nzuri sana tu kushinda wabunge wengi mno wa CCM.. hili liko wazi kabisa.
Huna hoja wewe kibaraka. Unajishaua tu hapa. Sijui ni ke wewe?
 
Huna hoja wewe kibaraka. Unajishaua tu hapa. Sijui ni ke wewe?

I told you, niko na mama yako hapa, sbb unanisumbua unawashwa, sasa namwacha mama yako nakufuata ww, ntakufanyia tigolization hadi ukome, dry unlubricated.. nasty dirty hole..!! chicken head
 
Ni kweli mzee Tupatupa kuwa dawa ya wabunge wa CCM 'wanaochonga' sana Bungeni ishapatikana nayo si nyingine bali 'kuwapoza' na kuwashikisha na milungula ya shilingi milioni 10 kila mmoja.........
hahaha kazi ya TAKUKURU ni ipi ?
 
Niko hapa Dodoma tangu mwanzoni mwa juma hili. Nashuhudia mtifuano usio na mfano wa Wabunge wakiuliza maswali, wakichangia hoja na kadhalika. Nawashuhudia Wabunge ndani na nje ya Bunge hapa Dodoma.

Kumejitokeza Wabunge wa CCM wanaojichora kama wakosoaji wa utendaji wa Serikali ya Rais John Pombe Magufuli. Wabunge hao wamejichora kwa kauli, michango na hoja zao. Wabunge hao wanahatarisha kupitishwa kwa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari.

Dawa ya Wabunge hao imepatikana. Ndani ya CCM hakishindikani kitu. Maelekezo yametolewa kwa viongozi wa Wabunge wa CCM kuwasilisha majina na 'hoja-korofishi' za Wabunge hao ili wajadiliwe na 'kuonywa' kichama. Kuna mkutano maalum wa Wabunge wa chama (party caucus) utaitishwa kwa ajili yao.

Pamoja na hayo mambo ya kichama na udhibiti wake, naliona Bunge likirudi katika kuisimamia Serikali. Linarudi kwenye mstari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Hawajaanza Leo kukosoa, wabunge wa ccm ni wazalendo wa kweli.
 
Alieibua ishu ya Richmond ni Wapinzani tena wakiongozwa na doctar Slaa na walianzia muembe yanga temeke
Hajielewi huyo ndio maana sijamjibu yaaani yupo empty kabisaaa kichwani kuhusu siasa ya nchi hii
 
Back
Top Bottom