funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,489
Sijakuelewa ndgMwenyezi Mungu akuepushe na adhabu za Ndimi
Sijakuelewa ndgMwenyezi Mungu akuepushe na adhabu za Ndimi
Sio kafara.Kwanza Dodoma ni makao makuu ya nchi hivyo mwingiliano wa watu ni mkubwa sana siku hizi,hasa wingi wa magari.Ajali zimekisiri sana maeneo ya dodoma kulikoni au ndio kafara zenyewe
Ni mtoto wa mnyonge mwenzako tu huyo ticha. Dingi yake alikuwa copolo wa polisi kituo X wakati ule mzee wangu alikuwa afisa mtendaji kata hiyo.Bora kafa na afe tu na huyo aliyewekwa hapo general hospital jifanyeni mko weekend. Wajinga sana. Manina wakufe tu ccm manina zao

Pole mkuu na huo mdomo naona sijui ni kipigo kama cha Shilole hahhaaKweli mkuu maana Mayalla kafanya kazi kubwa sana ya kusifu.
PoleniNi mtoto wa mnyonge mwenzako tu huyo ticha. Dingi yake alikuwa copolo wa polisi kituo X wakati ule mzee wangu alikuwa afisa mtendaji kata hiyo.
Nimevua nae sana samaki pale ziwani, tumefukuzwa ada pamoja, baadae akafaulu kwenda secondari Mimi nikafeli.
Baba yake akawa amehamia kituo kingine akanitagutia nafasi huko nami nikarudia kibashite system.
Nipo hapa msibani nyumbani kwake kisesa. Mazishi j3 kwa mwalimu.
Nilikosea Mkuu, ni Hoja ya juu yako ndyo niliyojib sijui imekuaje imeletwa kwako na wakat nilireply ya juu yakoSijakuelewa ndg
Ila iko namna maana inaonesha dereva wa hio gari aliinyooshea basi mazima baada ya kumpiga taa akaitolea pembeni kidogo maana ilikuwa kwenye corner.Mkuu hizo gari ulizotaj hapo ni left handers??.
Maana kwa maelezo ya dereva hapo mbunge ambaye ni boss alikaa upande wa kulia pamoja na marehemu.
Mpwaaa Hyo mashine inaitwa Toyota Sequoia ni chuma balaaIla iko namna maana inaonesha dereva wa hio gari aliinyooshea basi mazima baada ya kumpiga taa akaitolea pembeni kidogo maana ilikuwa kwenye corner.
Hatuwezi jua mazingira yalikuwaje maana kwenye corner huenda upande wa pembeni ni korongo ngumu kwa dereva kuitoa aitupe gari kwenye korongo.

Umekarirri mzee hii Toyota Sequoia ni chuma balaaHii gari inaonyesha ni Landrover discovery 3 or 4 automatic alikutana na kitu lazima maana rim na tairi bado nzima

kuliko hata hyo discovery yakoMuroto anasema Toyota Land Cruiser nikawa nashangaa, kamanda ameyumba vipi maana tail lights sio za Landcruiser kabisa. Sequoia bonge la dude kubwa kama ford expedition tu!Mpwaaa Hyo mashine inaitwa Toyota Sequoia ni chuma balaa
Halafu ni LHD
Mam.ae land cruiser wapiii chuma hyo ni 4.7 liters V8,240hpMuroto anasema Toyota Land Cruiser nikawa nashangaa, kamanda ameyumba vipi maana tail lights sio za Landcruiser kabisa. Sequoia bonge la dude kubwa kama ford expedition tu!
nimejitahidi sana kuli decrypt hilo dude kumbe ni sequoia banaUmekarirri mzee hii Toyota Sequoia ni chuma balaakuliko hata hyo discovery yako
4.7 liters mzee halafu pia Kuna za 5.7 halafu hyo ni LHD pia ni7 seatersnimejitahidi sana kuli decrypt hilo dude kumbe ni sequoia bana
Hilo 5.7 sio mchezo, 380HP mkuu af Left hand sindio barabara za Marekani.4.7 liters mzee halafu pia Kuna za 5.7 halafu hyo ni LHD pia ni7 seaters