Dodoma: Ajali yaua Watatu akiwemo DAS Handeni

Dodoma: Ajali yaua Watatu akiwemo DAS Handeni

Dah so Sad..

Overspeeding... Drunk..
 
Watu Watatu wamefariki dunia akiwemo Katibu Tawala (DAS) wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Mwalimu Boniface Maiga Jumaa baada ya Gari mbili kugongana mkoani Dodoma usiku wa kuamkia leo.

Ajali hiyo pia imesababisha majeruhi kadhaa akiwemo Mbunge wa Handeni Mhe.Omary Abdallah Kigoda.

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Dodoma SACP Gilles Muroto amethibisha.

ITV BreakingNews
View attachment 1503466View attachment 1503467

Daah life is a long journey na mwisho wetu NI mavumbini....

Allah awalaze mahali pema na awafariji majeruhi na wafiwa.
 
Back
Top Bottom