figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
doctor wetu poleni sana. mimi nawaombeni kama watawalazimisha kwenda kazini nanyi mkakubali, basi nawaombeni mtuonee huruma. Muogopeni Mungu jamani, msitupasuwe vichwa badala ya miguu sababu kosa siyo letu wananchi bali la serikali iliyojiweka madarakani. ingekuwa imewekwa madarakani na wananchi basi ingewasikiliza wananchi wake. ni hayo tu jamani. Mia