Doctor Slaa ndani ya Mbeya kesho

Doctor Slaa ndani ya Mbeya kesho

kamanda mkuu

Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
15
Reaction score
4
Doctor WILBROD SLAA kesho anatarajiwa kuwasili ktk mkoa wa mbeya ni kwa ajali ya kuja kuwashukuru watu wa nzovwe na mbeya vijijni kwa jinsi walivyoonyesha moyo wao wa kuiamini chadema;ikumbukwe kuwa kata ya nzovwe ilikuwa ikishikiliwa na chadema na diwani wake kujiudhuru lakini licha ya yote wananchi wa nzovwe bado waliendelea kuimini chadema na kuipa ushindi wa kishindo
 
Mbeya Mjini ni kama anaenda nyumbani kwake Karatu!
 
Kampen zinatarajia kuanza ndani ya chama.ZITO nae aende nyamga kwa wenje.FREEMA...aende kuMTWARA.siku zote dr alikua wapi?Watu tume kumbuka stori zake jukwaani jicho linamtokaga sana.karibu na kwetu uyole.lakini ktk (ushua) nakumitano tunamtegea KABWE.
 
Dr slaa ni tunu ya Taifa la Tanzania na Afrika.
 
Kampen zinatarajia kuanza ndani ya chama.ZITO nae aende nyamga kwa wenje.FREEMA...aende kuMTWARA.siku zote dr alikua wapi?Watu tume kumbuka stori zake jukwaani jicho linamtokaga sana.karibu na kwetu uyole.lakini ktk (ushua) nakumitano tunamtegea KABWE.
Unamatusi wewe unadhani hao wanagawanyika kama peremende umeula
 
Dr. Slaa,rais toka moyoni mwangu karibu Nyumbani. Kuja kwako ni kuamsha ari za waliokata tamaa na wasio na jawabu la matatizo yao,hatutegemei kupata pesa kama si tisheti au kanga toka kwako bali ni tumaini jipya kuwa hali ngumu tulio nayo ni mapito na Tanzania Yenye NEEMA yaja.
 
Back
Top Bottom