Si humu waga kuna wagojwa basi daktari nipo don't worry Jf guys.Mnanikaribisha lakini?
shame upon you Even guests you want to make a nonsense Discussion! Sure ur PAKAjimmy.Ulipata kujifundisha lugha ya kiswahili shuleni?..hilo neno lina maana gani/...nisaidie hapo tu kwanza kabla sijakukaribisha!
Mhhh dr wa nini wewe
isije ikawa wa mitishamba au wa kupewa kama nanihiii
Au Dr wa kupulizia
hata hivyo karibu sana aise
japo tuna machungu sana ya kumpoteza mwenzetu
Si humu waga kuna wagojwa basi daktari nipo don't worry Jf guys.Mnanikaribisha lakini?
Si humu waga kuna wagojwa basi daktari nipo don't worry Jf guys.Mnanikaribisha lakini?