Kwenye suala la uzuri kuna usawa kwenye race zote zilizopo duniani.....tofauti huwa labda ni usafi (kujitunza) kwa muhusika.
Nimefanya utafiti binafsi wa kutosha, kama ambavyo utampata mrembo ndani ya jamii ya Watindiga, ndivyo hivyohivyo utakutana na "ugly lady" kwenye jamii ya uzbekistan....
So sio kweli sana kusema eti hakuna mzungu mzuri...au mmakonde mzuri.........we sema bado hujabahatika kukutana nao.
Nimewahi kumuona mzungu (mtalii) nikiwa kwenye benki moja hivi....duh....alikuwa ni mrembo kupita maelezo, mpaka leo natamani ingekuwa ni picha niendelee kuiangalia, na pia nimewahi kutana na binti mmoja wa Vietnam nikiwa kwenye nchi moja ya Asia ( sio vietnam), asikwambie mtu...tofauti kubwa sanasana ni maumbile......
Kwenye uzuri hakuna race....macho ndio yanatambua....suala la simpendi kwa sababu anatoka Paraguay hayo huja baadae.