The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Lizzy anapenda mahindi ya kuchemsha na Karanga pia na mayai...hizi sifa zinatosha au niendelee?Hahahaha. . .
Haya embu nisifie basi na wewe kidogo bana.
Lizzy anapenda mahindi ya kuchemsha na Karanga pia na mayai...hizi sifa zinatosha au niendelee?Hahahaha. . .
Haya embu nisifie basi na wewe kidogo bana.
Kama vile namuona Boss meno yote nje..lolYou shouldn't.
Boss you are one handsome man. . . blush basi nikuone.Lolz
Ngoja nimlete Amyner na tiny fishy waje hapa..
Njema kabisa AshadDii uachage mamichemsho na aina nyengine za mapishi ya nyama, au nyama kwa ujumla kabisa. kuwa na upendo kwa wanyama, nitakusifia kwa hiloHongera saana Mabagala.... siku nyingi hatujagongana.... Habari ya siku?
Utanionea bure tu...lol...wewe ngoja nimuite Jux na Martina lol
You shouldn't.
Boss you are one handsome man. . . blush basi nikuone.Lolz
Ndio maana ukaitwa Mwali....:eyebrows:Mimi Mwali kusema ukweli, pamoja na kupitia changamoto nyingi hadi sasa, naweza kusema kama kila ninacho kusudia kupata hua sikikosi... ANYTHING (so far). :first:
Mimi Mwali kusema ukweli, pamoja na kupitia changamoto nyingi hadi sasa, naweza kusema kama kila ninacho kusudia kupata hua sikikosi... ANYTHING (so far). :first:
Sifa jisifie, wasiokuweza wachukie.
Mimi. . . nimejitahidi kupungua. . bado kama kilo 10 hivi na mie nivae size 4 nipate cha kiringishia zaidi.
Sasa Mwali na kua successful in life, wapi na wapi jamani?Ndio maana ukaitwa Mwali....:eyebrows:
Umenikumbusha kingine: hua sitamani kitu just kwa kukitamani, kila kitu ni kwa mstari, na kila ninacho kipata ni ngazi mpya kwa hatua inayo fwata. so Nikisha pata nilichokua natafuta naenda nacho next level. lolna ukishakipa u feel bored au?
Mimi Mwali kusema ukweli, pamoja na kupitia changamoto nyingi hadi sasa, naweza kusema kama kila ninacho kusudia kupata hua sikikosi... ANYTHING (so far). :first: