Hahahahahaha, hana dini yule!Naona anagonga likes bila upendeleo. Lazima kwenye maungamo atakuwa ameambiwa agonge likes 8,999 kabla ya Pasaka ili aweze kusamehewa dhambi zake.
Hahahahahaha, hana dini yule!
Mkuu Nyani Ngabu, changia basi tuelewe nini kimekutokea leo. lol
Hahahahaha, eti pombe ni dawa ya ukimwi, watu wasitumie condom???Una uhakika hana dini yule? Maana siku hizi kuna dini za kila aina na nina wasiwasi mkubwa huyu atakuwa mchungaji wake.
Leo I just cant help it Ku BRAG!!!
NYANI NGABU yule Mwenye Signature ya Miafrika Ndivyo Tulivyo.
kanigongea Like Thread nzima!!! Kaniongeza nyiiiinge kama 28...
Nimelewa kwa Likes.... Sio kwa sababu napenda saana "Like"
BUT sababu they are From Nyani Ngabu... Peope!!!.
Dah! Lucky ME!! :majani7:
Umesahau hiki ni kipindi cha Kwarezima? Anafanya malipizi ya dhambi zake. lol.
Naona anagonga likes bila upendeleo. Lazima kwenye maungamo atakuwa ameambiwa agonge likes 8,999 kabla ya Pasaka ili aweze kusamehewa dhambi zake.
Kweli kujisifia muhimu mwenzangu, nafurahia maisha navyotaka, sina matatizo ya kimapenzi
najisifia tangu nimeanza mapenzi sijawahi achwa...guna....., najisifia mie msomi mrembo nisiyeteteleka, najiamini balaa
nimeachieve goals zangu nyingi pia. keep on going like never before....whatch me out!!!!
Hahahahaha, eti pombe ni dawa ya ukimwi, watu wasitumie condom???
ukinywa tisa ni sawa, unapona magonjwa yote. Malaria, matatizo ya kichwa, hata ukimwi
Huyu anatakiwa kufungwa. Anaonekana alikuja kuhubiri huku amesha lewa!
But in TZ kila kitu kina wezekana, Babu wa Loliongo alipewa support na government officials
Katoa tamko kua kaoteshwa mengine: we'll be right back, stay tuned...Babu siujui kaishia wapi?
Katoa tamko kua kaoteshwa mengine: we'll be right back, stay tuned...
Season two. Maana kila season inakuja na episodes kadhaa,Second Edition?
sijui nibrag tena?
Dah, nina . . . .
Kweli kujisifia muhimu mwenzangu, nafurahia maisha navyotaka, sina matatizo ya kimapenzi
najisifia tangu nimeanza mapenzi sijawahi achwa...guna....., najisifia mie msomi mrembo nisiyeteteleka, najiamini balaa
nimeachieve goals zangu nyingi pia. keep on going like never before....whatch me out!!!!
Berry hii kwa kweli nimeipenda.... Ya Ukweli saana...lol
Nimesoma hapa mimi mwenyewe nimecheka na kufurahi, Umeitendea haki ku Brag! Way to go gal....
BTW Nimefurahi kukuona, Umepotea mno! Hope all is well and good huko.
Hapo kwenye desh desh, malizia kubrag basi Kongosho!!
sijui nikizimalizia hizo dot kama patakuwa na amani hapa?
Yaani, nimeokota bomu la mbagala.
Cousin bwana, lazima kuna kitu ambacho unajivunia kua nacho,Kwahiyo aunt tunatakiwa kujisifia? Duh, naanzaje sasa?