Do alliens exist?

Do alliens exist?

Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nimekuwa nikisikia kuna viumbe wafananao na binadamu.Hawa viumbe inasemekana wanaishi sayari nyingine tofauti na sayari yetu ya dunia.. Inasemekana hawa viumbe hawaishi kwenye sayari yetu ya dunia
Inasemekana viumbe hawa wana I Q ya hali ya juu sana
Inasemekana wanateknolojia ya hali ya juu sana kuliko sisi binadamu wa dunia hii... Kumekuwepo na theories mbalimbali kuwahusu alliens..
Inasemekana pia kuna alliens waliowahi kutua hapa bongo... Any way elimu haina mwisho japo nina ka masters ka philosophy lakini kuhusu elimu ya hawa viumbe nipo mweupe kabisa.. Wajuzi karibuni kwa lectures
Owk
 
Hahahaha...hili swali Gumu sanaa chief...
Kwanini?
Diameter ya ulimwengu ni 10 bilion light years(yani mwanga kwa speed yake utatumia miaka bilioni 10 kutoka mwanzo mpaka mwisho wa ulimwengu(universe))
Jua linalo zungukwa na sayari hizi 8 au kama siyo 9 ni moja kati ya nyota zaidi ya bilioni 100 ambazo zinauwezo wa kuzungukwa na na haya mawe makubwa tunayo yaita sayari hizo nyota zikiwa zipo zinashikiliwa pamoja kwa nguvu inayoitwa dark matter ambayo hiyo pamoja na dark energy vinatengeneza zaidi 70% ya mass ya ulimwengu(universe).
Inasemekana hii dark matter inatoka nje ya ulimwengu wetu ambapo kuna uwezekano mkubwa ikawa inatengenezwa na ulimwengu zingine huko.kwasababu chanzo chake hakipo ulimwenguni hapa...
Sasa mkuu ukiuliza wako wapi wanaweza kuwa popote (nyota bilioni 100 zikiwa zinazungukwa mfano na sayari 4×100bilioni=400bilioni.sasa uwezekano wa kujua wako wapi ni 1/400bilioni ).asante
ulishawahi fanya kazi nasa?
 
Alien wapo na huwa wanaingiliana na binadam, na wanaozaliwa huwa binadam wenye akili sana. Walinzi wa us presidwa wale critical nasikia ni spicies ya hawa viumbe, hittler alikuwa mzazi mmoja alikuwa na dam ya alien, yesir arafat pia, waziri mkuu wa uk na wengine
story za jaba
 
Gaijin is an alien... Illegal alien pia nao ni alien.., kwahio chochote kigeni ni alien kwa kilichopo..., hayo mengine ni conspiracy theories until we know otherwise
 
Aliens ni demons, au unaweza wait a fallen angels. Ni viumbe wa kiroho hawana miili kama Mimi na wewe. Viumbe Hawa, wamekuwa wakifanya maingiliano ya kingono na wanaadamu na kutengeneza viumbe (hybrid) wenyewe maili kama ya watu wa kawaida. Viumbe Hawa wana bases zao katika baada la Antarica, na pia katika Bermuda triangle, na hata katika Dragon's Triangle. Bermuda triangle kuna mlango wa kuingia katika bara la Antarctica(south pole). Meli, na hata ndege hupotea au kuzama katika Bermuda triangle. Aliens, au damons, ndiyo nyakati zingine wanaitwa "Watchers", au " Guardians". Aliens wapo , na ndiyo wanaosaidia nchi za Marekani, Russia, China, na hata Japan, katika matengenezo ya silaha za kivita kama vile madege ya B2 ambao ni anti gravity,na silaha za laser. Vile vile , Hawa Aliens ndiyo waliomsaidia Adolf Hitler kutengeneza submarine aina ya U-Boat, na hata matengenezo ya gari isiyotumia maji wakati wa vita juu ya pili ya Dunia.. Aliens wapo, na base yao iko Antartica ambako Hitler alitorokea.
Bila shaka ndio wanaoisaidia CCM kushinda kwenye Chaguzi Kuu za Urais, Ubunge na Udiwani!
 
Inabidi ujue kwanza hili neno "Alien" lina maana gani...??

In fact "Alien" anaweza kuwa kiumbe chochote yule (hata wewe Binadamu) na hutokea hivyo kama ataingia kwenye mazingira geni kabisa nje kabisa ya mazingira yake ya asili.
Mfano; Binadamu akitoka Duniani kwenda Mars au kwenye Mwezi.. kule kama atakuta viumbe wengine basi hao viumbe watamchukulia huyo binadamu kama Alien. So.. Alien ni kitu kigeni katika mazingira yetu ya asili.

Turudi kwenye swali lako...

● Asee... mimi binafsi sina jibu la uhakika juu ya uwepo wa hawa viumbe maana bado naendelea kujifunza. Ila katika pitapita zangu nimegundua kuna makundi mawili yanazozana juu ya uwepo wa hawa viumbe huku moja likiamini kuwa hawa viumbe wapo na jingine likipinga.

● Lakini mambo niliyojifunza kutoka kila kundi ni kuwa kila kundi limekuja na sababu zake...;
○ Wanaopinga wanasema kuwa;
01. Hakuna ushahidi wa kutosha (Obvious physical evidence) juu ya kuonekana kwa hawa viumbe. Wao wanasema kuwa evidence nyingi zinazowasilishwa ni fake, nyingi ni picha za kubuni na computer... yaanu C.G.Is (Computer Generated Images) tuu hasa Video..
02. Matukio ya kuonekana kwa Aliens kwanini yanatokea Marekani, Canada, Amerika na Ulaya tuu... kwanini yasitokee China & Africa pia. Zaidi ya 90% ya kesi zote za kuonekana kwa hawa viumbe na ndege sahani zao ni huko Ulaya na America tuu... mbona wako biased kivile..??
Wanaosema Aliens wapo points zao ni kuwa;
01. Ulimwengu wetu huu ni mkubwa sana na unaendelea kutanuka (expand) kwa speed ya mwanga tangu uripuke kutoka kwenye bigbang... sasa kuna mabilioni ya Sayari na mifumo ya jua mingi sana ndani ya Galaksi (Galaxy) kibao ndani ya huu ulimwengu wetu na Sayari nyingi zinaweza stawisha maisha (potentially habitable planets)... sasa kwa fikra yako tuu kwa ukubwa wote huu wa Ulimwengu utaamini kuwa tupo peke yetu..???
02. Kuonekana kwa ndege sahani (Flying Saucer au Unidentified Flying Objects - U.F.O) mara kwa mara.
(hili sitoliongelea... nendeni mkacheki YouTube huko wanaupload video za hivi vitu kila uchwao ingawa siamini kama ni za kweli).
03. Antartica.
Inaaminika kuwa hii ndo base ya Aliens hapa Duniani. Kuna story nilisoma kuwa Google Earth satelites zilinasa picha zikiwa zinaonyesha shughuli zisizo za kibinadamu zikiwa zinaendelea huko Antarctica pia kuna mtalii (explorer) alikuta yaleyale na kupiga picha. Alikamatwa na kuambiwa asitoe siri juu ya alichokiona kule. Nchi zaidi ya 12 zimeingia mkataba kulilinda hili eneo ambalo ni barafu tupu... sasa kwa akili yako wanalinda nini pale..???

Sina nguvu ya ku-type kwa leo ila hayo machache yanatosha.

Kwenye Ulimwengu huu huwenda tupo pekee yetu au hatupo pekee yetu.... yote hayo yanaogofya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sisi Watu ni Aliens wa kale Sana na DNA zetu zinaonesha sio Dunia sio chanzo chetu hapa ila tulikuja na kuanza kuadopt mazingira na kubadilika badilika mpaka tukawa pure humans
Na ndio maana kipindi Kizazi Cha dinosaur wapo sisi hatukwepo ila tulikuja baadae Sana!
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Inafikilisha.
Viumbe hao waliokimbia mabara mengine ndo hao wazungu ambao leo hii wanatuzidi kila kitu kumbe wao walitutangulia kuumbwa na wana uwexo mkubwa sana kiakili(tehnologia zote wao ndo wavumbuzi)
Kuna uzi humu unaeleza tofaut ya wazungu na waafrica

Viumbe wengie walioumbwa ambao n dhaifu ndo africa

Nimewaza kijinga
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Shukrani naomba kujua mfano wa wale wakwanza walio kimbilia mabara mengine.
na pia naomba mifano ya Hawa wapili ambao wali wekewa bustanini kwa dunia ya sasa. Tafadhari kama Kuna mifano ya hizo jamii nijuze
 
Back
Top Bottom