Do alliens exist?

Do alliens exist?

Usitazame walioanzisha. Tazama malengo, na madhumuni ya societies hizo kuanzishwa. Kwa hiyo hawatoi kafara?. Hao huwezi kuwatenga lengo lao ni kuabudu ibilisi.. Kalaga baho.
Hata morals and codes zao ni tofauti kabisa nimewasoma na naelewa tofauti kati ya secret society na dark religion mkuu
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Kwahy Mkuu unaamini katka hili?
 
Juzi hapa jeshi la marekani wametoa video inayoonesha aircraft yenye kasi ya ajabu. Wamarekani wenye wamesema hawajawahi kuona teknolojia kama hiyo inawezekana ni aliens.

Jiulize kwann hyo ndege ikitikisika inaenda upande
Na sii juu na chin???
 
Kwahy Mkuu unaamini katka hili?
Mkuu binafsi siamini lakini kuna kipindi ukifikiria na kusoma sana unaanza kuwaza kuamini.Hebu fikiria dunia ya Leo tunaamini vita iliyohusisha nucler bomb ni ya pili ya dunia lile bomu la Nagasaki.

Lakini kuna evidence zinaonyesha vita vilivyohusisha nuclear vimewahi tokea miaka mingi sana iliyopita.

Kuna professor mmoja wa marekani aliyechangia sana katika maendeleo ya silaha za nuclear.aliulizwa kama silaha za nuclear ndo zimeanza kutengenezwa miaka ya karibuni.Alijibu hizi za sasa ni za ndio zimeanza katika Morden world lakini nuclear zilishawahi kutumika zamani sana.Sasa jiulize hizo vita zilipiganwa na nani?

Wajuvi wanadai ilikuwa ni Atlantis dhidi ya Lemuria.Na haya mambo yanazungumziwa na hadithi za kihistoria za jamii nyingi duniani japo yanapuuziwa kwa sababu tunaamini katika sayansi sio myths.

Mfano katika hadithi za Red indians wanadai walitokea aridhini then connect it to life on underground tunnels utapata majibu.Na kuna hadithi zinazozungumzia vita nyingi tu.

Kuna kipindi hata sayansi huwa ina kubali myths kishingo upande.Kuna mdau hapo juu kawaambia mtafute Rama's bridge.

Ingia Google uone sayansi inavokubaliana na hadithi kwenye Rama's bridge au Adamic bridge.

There is possibilities that we ain't alone.
 
Kwa mimi jamaa naamini asilimia zote kuwa Alliens wapo na kuna mchambuzi mmoja alitoa ushuhuda kwa kuonyesha clips kuwa nchi ya Marekani wanavumbua defensive security na technology nyingi kupitia hawa Alliens na hawa wanapatikana katika eneo la Bermuda Triangle.. Na AREA 51 katika jangwa la Nevada military base ya Marekani
Inasemekana Dunia yetu ni globe Lakini ina tundu kubwa katika North pole, ambalo linaongoza katika nchi iliyoko chini ya dunia. Mbali na tundu la North pole, ipo milango mingi ya kupitia kufika katika nchi hiyo. Moja wapo ya milango hiyo ni area 51 katika jangwa la Nevada. Mlango ungine ni Bermuda Triangle. Nchi hiyo huwezi kuingia kwa chombo kama meli au ndege, mpaka ujue jinsi ya kufungua milango hiyo ambayo Iko katika higher dimension kuliko hii yetu.Labda mpaka wafungue wenyewe kama vile pale Bermuda Triangle.
 
Hata morals and codes zao ni tofauti kabisa nimewasoma na naelewa tofauti kati ya secret society na dark religion mkuu
Unachekesha sana kaka. Nyota ya pembe tano(pentagram) iliyosimmamia ncha mbili ni ya kufunglia (evoke) malaika wema kufuatana na kitabu vya Mfalme Sulemani (Legmatik ye Kinge Solomon). Nyota hiyo hiyo ukiipindua ikasimamia ncha moja, ukaifungua, atatoka Lucifer mwenyewe. Halafu unasema cords,?. Wewe hujui kitu nyamaza.
 
Inasemekana Dunia yetu ni globe Lakini ina tundu kubwa katika North pole, ambalo linaongoza katika nchi iliyoko chini ya dunia. Mbali na tundu la North pole, ipo milango mingi ya kupitia kufika katika nchi hiyo. Moja wapo ya milango hiyo ni area 51 katika jangwa la Nevada. Mlango ungine ni Bermuda Triangle. Nchi hiyo huwezi kuingia kwa chombo kama meli au ndege, mpaka ujue jinsi ya kufungua milango hiyo ambayo Iko katika higher dimension kuliko hii yetu.Labda mpaka wafungue wenyewe kama vile pale Bermuda Triangle.

Intersting....lakini mimi niliskia ni south pole, xontinent ambalo hatujui mengi kuhusu hilo.world war tu germans walikuwa wakifanya research za siri kule sana na inajulikana ni kwa jinsi gani wajerumani walikuwa wakivutiwa na supernatural stuffs na vitu vya kusadikika. kwa upande wetu labda ni sawa na hizi story tunazo ziskia hapa kwetusijui nilipelekwa chini ya bahari.kuingia sijui mpaka ufanye vitu flani..
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Mkuu did atlantis exist?? Na kwanni lilizama
 
Alien wapo na huwa wanaingiliana na binadam, na wanaozaliwa huwa binadam wenye akili sana. Walinzi wa us presidwa wale critical nasikia ni spicies ya hawa viumbe, hittler alikuwa mzazi mmoja alikuwa na dam ya alien, yesir arafat pia, waziri mkuu wa uk na wengine
Mbona hitrel hakua na akili,mkuu ? ,hata during ww2 alikua akifanya maamuzi mabovu yaliyopelekea jeshi lake kushndwa,alikua na akili za kawaida tu
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.

Antarctica?
Hitler’s Germany was extremely interested in Antarctica beginning in the 30s. Many historians attribute this to the occultist background of the upper echelons of the Nazi party, some of whom where members of the so-called Thule Society. In studying translations of old Tibetan, Indian and Greek texts, they came to (correctly) believe that our earth is hollow and inhabited within. Ultima Thule is supposed to have been the name of the capital city of the continent Hyperborea, older than Atlantis and Lemuria. According to Thule texts, the Hyperboreans were highly technologically and socially advanced. The continent was located in the Norwegian Sea and sunk over the progression of an ice age. During the catastrophe, however, the Hyperboreans dug large tunnels through the earth’s crust using giant machines and settled under what is today the Himalayas. It is said that they named their new kingdom Agharta or Agharti and its capital city Shamballah. The current Dalai Lama XIV as well as lamas from Mongolia and Tibet claim to have known this subterranean kingdom along with The Lord of the World (Rigden Iyepo) living there. Over the millenia, the subterranean kingdom has supposedly spread below the earth's entire surface with giant centers under the Sahara, the Mato Grosso in Brazil, Yucutan in Mexico, Mount Shasta in Northern California and many others.

Habari zaidi Mysterious Antarctica
 
Mbona hitrel hakua na akili,mkuu ? ,hata during ww2 alikua akifanya maamuzi mabovu yaliyopelekea jeshi lake kushndwa,alikua na akili za kawaida tu

Usiseme hivyo mkuu..
Hitler na alexander the great ndo binadamu pekee waliyo fanikiwa kutawala dunia (conqering all that is there to be conqured) japo kuwa kwa hitler ni mda mfupi sana lakini aliweza non the less,hatuliskii kwasababu the winner gets to write the history chief no matter how good the loser was you will never know..
 
Wapo sayari gani sasa

Hahahaha...hili swali Gumu sanaa chief...
Kwanini?
Diameter ya ulimwengu ni 10 bilion light years(yani mwanga kwa speed yake utatumia miaka bilioni 10 kutoka mwanzo mpaka mwisho wa ulimwengu(universe))
Jua linalo zungukwa na sayari hizi 8 au kama siyo 9 ni moja kati ya nyota zaidi ya bilioni 100 ambazo zinauwezo wa kuzungukwa na na haya mawe makubwa tunayo yaita sayari hizo nyota zikiwa zipo zinashikiliwa pamoja kwa nguvu inayoitwa dark matter ambayo hiyo pamoja na dark energy vinatengeneza zaidi 70% ya mass ya ulimwengu(universe).
Inasemekana hii dark matter inatoka nje ya ulimwengu wetu ambapo kuna uwezekano mkubwa ikawa inatengenezwa na ulimwengu zingine huko.kwasababu chanzo chake hakipo ulimwenguni hapa...
Sasa mkuu ukiuliza wako wapi wanaweza kuwa popote (nyota bilioni 100 zikiwa zinazungukwa mfano na sayari 4×100bilioni=400bilioni.sasa uwezekano wa kujua wako wapi ni 1/400bilioni ).asante
 
Hahahaha...hili swali Gumu sanaa chief...
Kwanini?
Diameter ya ulimwengu ni 10 bilion light years(yani mwanga kwa speed yake utatumia miaka bilioni 10 kutoka mwanzo mpaka mwisho wa ulimwengu(universe))
Jua linalo zungukwa na sayari hizi 8 au kama siyo 9 ni moja kati ya nyota zaidi ya bilioni 100 ambazo zinauwezo wa kuzungukwa na na haya mawe makubwa tunayo yaita sayari hizo nyota zikiwa zipo zinashikiliwa pamoja kwa nguvu inayoitwa dark matter ambayo hiyo pamoja na dark energy vinatengeneza zaidi 70% ya mass ya ulimwengu(universe).
Inasemekana hii dark matter inatoka nje ya ulimwengu wetu ambapo kuna uwezekano mkubwa ikawa inatengenezwa na ulimwengu zingine huko.kwasababu chanzo chake hakipo ulimwenguni hapa...
Sasa mkuu ukiuliza wako wapi wanaweza kuwa popote (nyota bilioni 100 zikiwa zinazungukwa mfano na sayari 4×100bilioni=400bilioni.sasa uwezekano wa kujua wako wapi ni 1/400bilioni ).asante

Bila kusahau mkuu spidi ya mwanga ni;

1,079,252,848.8 km/h (kilomita kwa lisaa)
 
Mkuu did atlantis exist?? Na kwanni lilizama
Hapa kuna conspiracy nyingi sana kuhusiana na hiyo Atlantis mpaka nashindwa nikujibu vipi na najua kila majibu yatakupa maswali zaidi ila kwa sababu tupo katika Uzi wa conspiracy acha twende nao tu.Ila nitakujibu kwa theory zinazohit sana.

Nowadays wengi wanadai Bara la Antarctica ndio Atlantis.Kuna kipindi NASA waligundua chini ya barafu kuna vitu kama magofu vinavyoashiria ancient civilization.Na hii hoja ilikuja kupata mashiko baada ya mtaalamu mmoja (nimemsahau jina) kuanzisha theory ya Crustal displacement.

Vilevile kipindi nasoma Geography Advance katika evidences za Continental drift kuna evidence moja inadai wanasayansi wamegundua makaa ya mawe beneath ice caps huko antarctica wakati organism responsible for coal formation are not there.So you can connect dots.Japo theory ni nyingi sana.

Kuhusu kilichoifanya Atlantis Izame napo kuna theory nyingi.According to Plato lilitokea tetemeko.hoja hii ilipata mashiko sana kutokana na ushahidi kuna kisiwa cha ugiriki cha Santorini kiliwahi kuzama kutoka na tetemeko lililosababisha Volacanic disturbances kisiwa kikazama.So wana assume the shit happened to Santorini took place to Atlantis too.

Kuna mambo mengi sana lakini kumbuka sio Atlantis pekee iliyowahi zama kuna bara lingine linaitwa Lemuria.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Hakuna alien wala nini
Hao ni WANEPHILI WALIOPELEKEA MUNGU KUSHUSHA GHARIKA
 
Alien wapo na huwa wanaingiliana na binadam, na wanaozaliwa huwa binadam wenye akili sana. Walinzi wa us presidwa wale critical nasikia ni spicies ya hawa viumbe, hittler alikuwa mzazi mmoja alikuwa na dam ya alien, yesir arafat pia, waziri mkuu wa uk na wengine
Mmmmmmmmh...
Nasikia harufu ya chai hapa..!
Sio chai kweli hii mkuu..?
 
Back
Top Bottom