Do alliens exist?

Do alliens exist?

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
778
Reaction score
1,721
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nimekuwa nikisikia kuna viumbe wafananao na binadamu.Hawa viumbe inasemekana wanaishi sayari nyingine tofauti na sayari yetu ya dunia.. Inasemekana hawa viumbe hawaishi kwenye sayari yetu ya dunia
Inasemekana viumbe hawa wana I Q ya hali ya juu sana
Inasemekana wanateknolojia ya hali ya juu sana kuliko sisi binadamu wa dunia hii... Kumekuwepo na theories mbalimbali kuwahusu alliens..
Inasemekana pia kuna alliens waliowahi kutua hapa bongo... Any way elimu haina mwisho japo nina ka masters ka philosophy lakini kuhusu elimu ya hawa viumbe nipo mweupe kabisa.. Wajuzi karibuni kwa lectures
 
Aliens ni demons, au unaweza wait a fallen angels. Ni viumbe wa kiroho hawana miili kama Mimi na wewe. Viumbe Hawa, wamekuwa wakifanya maingiliano ya kingono na wanaadamu na kutengeneza viumbe (hybrid) wenyewe maili kama ya watu wa kawaida. Viumbe Hawa wana bases zao katika baada la Antarica, na pia katika Bermuda triangle, na hata katika Dragon's Triangle. Bermuda triangle kuna mlango wa kuingia katika bara la Antarctica(south pole). Meli, na hata ndege hupotea au kuzama katika Bermuda triangle. Aliens, au damons, ndiyo nyakati zingine wanaitwa "Watchers", au " Guardians". Aliens wapo , na ndiyo wanaosaidia nchi za Marekani, Russia, China, na hata Japan, katika matengenezo ya silaha za kivita kama vile madege ya B2 ambao ni anti gravity,na silaha za laser. Vile vile , Hawa Aliens ndiyo waliomsaidia Adolf Hitler kutengeneza submarine aina ya U-Boat, na hata matengenezo ya gari isiyotumia maji wakati wa vita juu ya pili ya Dunia.. Aliens wapo, na base yao iko Antartica ambako Hitler alitorokea.
 
Mkuu, hawa alliens nilishawah kuitazama clip flani hiv ambayo inawaelezea kwa undani sana,hawa alliens kwa mujibu wa hyo clip ni kwamba " hawa viumbe wanamionekano kama ya binadam lkn wao wanamacho ya mviringo na ni makubwa,miili yao ni blue,ndege wanazozitumia ni za mviringo kama madishi ya Azam au DSTV lakn zinakwenda kwa mwendo wa kasi kuliko ndege tunazozitumia wanadam"
Hawa alliens ndege yao ilishawah kupita nchoni Marekani na Wamarekani wakajaribu kuifuatilia kwa kutumia ndege zao,lakn ndege za Wamarekani iliachwa na ndege ya hawa alliens kwakuwa ilikuwa inaenda kwa kasi kubwa sana,tangu kpnd hicho Wamarekani waligungua karakana na kuanza kutengeneza ndege kama ya wale alliens lakn bado hawajafanikiwa
Yapo mengi ambayo niliyaona kwenye clip hyo na yote yanaonekana kuwa ni mambo ya kweli!
 
Alien wapo na huwa wanaingiliana na binadam, na wanaozaliwa huwa binadam wenye akili sana. Walinzi wa us presidwa wale critical nasikia ni spicies ya hawa viumbe, hittler alikuwa mzazi mmoja alikuwa na dam ya alien, yesir arafat pia, waziri mkuu wa uk na wengine
 
Jamani wajuzi wa haya mambo tupeni mwanga juu ya hawa viumbe
 
Hawa Aliens, (Watchers, au Guardians, ndio wanaotayarisha viongozi au Maraisi katika nchi ya US. Kupitia kikundi cha Illuminati au waweza kuita Freemasons, ndio Satanists (waabudu Ibilisi).
 
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nimekuwa nikisikia kuna viumbe wafananao na binadamu.Hawa viumbe inasemekana wanaishi sayari nyingine tofauti na sayari yetu ya dunia.. Inasemekana hawa viumbe hawaishi kwenye sayari yetu ya dunia
Inasemekana viumbe hawa wana I Q ya hali ya juu sana
Inasemekana wanateknolojia ya hali ya juu sana kuliko sisi binadamu wa dunia hii... Kumekuwepo na theories mbalimbali kuwahusu alliens..
Inasemekana pia kuna alliens waliowahi kutua hapa bongo... Any way elimu haina mwisho japo nina ka masters ka philosophy lakini kuhusu elimu ya hawa viumbe nipo mweupe kabisa.. Wajuzi karibuni kwa lectures

We are the alliens wa zamani zaidi hapa duniani .Genes zetu zinaonesha kuwa na sehemu ambayo siyo ya hapa duniani.kwa hiyo wakiwepo wenzetu sita shangaa.labda tumewekwa hapa kwa scientific experiment yao.kwanini isiwe hivyo wakati binadamu wa kwanza kuwa binadamu kamili na kuishi kama binadamu alitokea miaka 3000,000 tu iliyopita lakini dunia ipo zaidi ya mabilioni ya miaka..
Kwa wakristo kitabu cha mwanzo ( in the begining God created the heavens and the earth.(NOW) the earth was fores and void) hili neno now ukili soma kutoka maandiko halisi ni renewal...kutengenezwa upya kwa kitu kilicho haribiwa...
Sasa maswali kama wenzetu wapo(alliens wapo au adamu na hawa ni watu wa kwanza duniani) ni maswali magumu lakini labda yanaweza kujibika.
 
Kwa mimi jamaa naamini asilimia zote kuwa Alliens wapo na kuna mchambuzi mmoja alitoa ushuhuda kwa kuonyesha clips kuwa nchi ya Marekani wanavumbua defensive security na technology nyingi kupitia hawa Alliens na hawa wanapatikana katika eneo la Bermuda Triangle.. Na AREA 51 katika jangwa la Nevada military base ya Marekani
 
We are the alliens wa zamani zaidi hapa duniani .Genes zetu zinaonesha kuwa na sehemu ambayo siyo ya hapa duniani.kwa hiyo wakiwepo wenzetu sita shangaa.labda tumewekwa hapa kwa scientific experiment yao.kwanini isiwe hivyo wakati binadamu wa kwanza kuwa binadamu kamili na kuishi kama binadamu alitokea miaka 3000,000 tu iliyopita lakini dunia ipo zaidi ya mabilioni ya miaka..
Kwa wakristo kitabu cha mwanzo ( in the begining God created the heavens and the earth.(NOW) the earth was fores and void) hili neno now ukili soma kutoka maandiko halisi ni renewal...kutengenezwa upya kwa kitu kilicho haribiwa...
Sasa maswali kama wenzetu wapo(alliens wapo au adamu na hawa ni watu wa kwanza duniani) ni maswali magumu lakini labda yanaweza kujibika.
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
 
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nimekuwa nikisikia kuna viumbe wafananao na binadamu.Hawa viumbe inasemekana wanaishi sayari nyingine tofauti na sayari yetu ya dunia.. Inasemekana hawa viumbe hawaishi kwenye sayari yetu ya dunia
Inasemekana viumbe hawa wana I Q ya hali ya juu sana
Inasemekana wanateknolojia ya hali ya juu sana kuliko sisi binadamu wa dunia hii... Kumekuwepo na theories mbalimbali kuwahusu alliens..
Inasemekana pia kuna alliens waliowahi kutua hapa bongo... Any way elimu haina mwisho japo nina ka masters ka philosophy lakini kuhusu elimu ya hawa viumbe nipo mweupe kabisa.. Wajuzi karibuni kwa lectures
Inasadikika na hakuna ukweli wowotw mpaka sasa
 
Isue inayofanana na hii niliwahi kuisoma kwenye kitabu fulani kinaitwa Aliens visitation sikukisoma mpaka mwisho kwa sababu niliona kinanichanganyia madesa.Ila kinavyodai

Asili ya binadamu ni alliens waliofukuzwa katika sayari fulani ndipo wakaja duniani.Wakaanza kuishi chini ya ardhi ndo maana kuna underground tunnels kubwa sana zina miaka mingi sana duniani ambazo wanasayansi wengi wanajiuliza nani alizijenga.Baada ya hapo wakaenda kuishi bara la atlantis ambalo lilikuja kuzama mwanafalsafa Plato katika kazi zake za "Timaus" na "Critias" amelizungumzia sana bara la atlantis na kuzama kwake.Japo kuna watu sasa wanadai Antarctica ya Leo ndio Atlantis.Kiufupi Atlantis ndio yalikuwa makao makuu ya hawa aliens.

Baada ya kuishi Atlantis miaka mingi wakaamua kutengeneza kiumbe watakayemfanya awe mtumwa wao.Lakini wakakosea kwa sababu walitengeneza binadamu aliyekuwa sawa kiuwezo na wao.Hivyo akaja kuwaasi akawatoroka akaenda kuishi mabara mengine.

Baada ya kufanya kosa kumpa uwezo binadamu sawa na wao.wakaamua kutengeneza kiumbe dhaifu atakayewaheshimu milele na kuwa mtumwa wao daima ambao ndio Adam na Hawa wakawekwa bustanini.

kuna mengi sana naomba kuishia hapa.
Anhaa kumbe kablaya adamu na hawa walitengenezwa binadamu wengine wakatoroka sasa wako wapi mkuu kwa sasa na jee hawakupatikana tena(bali najua ni chai lakini wacha nijitoe ufahamu niulize tu)
 
Hawa Aliens, (Watchers, au Guardians, ndio wanaotayarisha viongozi au Maraisi katika nchi ya US. Kupitia kikundi cha Illuminati au waweza kuita Freemasons, ndio Satanists (waabudu Ibilisi).
Satanism na illuminati ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom