DNS unavailable maana ndio nini?

mzeelapa

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
1,115
389
Jamani kasimu kangu ni aina ya SAMSUNG GT-C3212. Huwa baada ya muda fulani kuna ujumbe unaotokea unaosema DNS unavailable, then nabonyeza ok, message inaondoka, lakini baada ya muda fulani inatokea tena. Naomba msaada wenu hii ndio nini? Kwa kweli inanikera, nifanyeje ili isitokee tena?
 
DNS ni kifupisho cha Domain Name System. Simply, inakuwezesha mtumiaji kutuma email na kubrowse mtandao. Kusolve tatizo lako inabidi ufanye DNS settings kwenye simu yako.
Sijawahi kutumia hiyo simu so sijui settings zake zimekaaje, ila somewhere kwenye settings kutakuwa na option ya kuset DNS, (may be iko automatic or ...) ukiipata nakushauri utumie DNS ya google ambayo ni 8.8.8.8, iko reliable kuliko open DNS zingine.

:A S-coffee:
 
Mkuu nimejaribu kila setting nimeshindwa, hakuna hata sehemu ime-mention word DNS.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom