Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 304
- 1,050
Habari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
Kwanini usiwaulize wenyewe? Sisi wala hatuwajui na wala sio wasemaji waoHabari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
Dnata ndo akina nanHabari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
Wakati tumewaandikia kwenye Tangazo hawakua makini kusoma kila kitu, na wengi husoma zile offer zetu tu.Kama hutapata ujumbe wowote kutoka kwetu wiki 2 baada ya kutuma maombi yako, basi ujue hukukidhi vigezo.