DNA yaendelea kuleta balaa kwa wanandoa

DNA yaendelea kuleta balaa kwa wanandoa

Na ingependeza kama watt wangeitwa ubin wetu

Mafano melack yasinta felix


Nikiwa na maana anayejua baba wa mtoto ni mama pekee si mwanaume hivyo kuondoa utata wa kumpa mtt jina /ukoo/mila/din namatambiko yasiyoupande wake ndio maana watt wengine mpka unajiuliza huyu kachukua tabia za nani kumbe kumfanyia mila za kihaya kumbe mtto msukuma
Wanawake wana siri kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani yetu ishawahi tokea hii story.

Huyo baba alikaa USA more than 10 years, kabla aondoke aliacha watoto watatu, ila alipoenda alikuwa anarudi likizo mke wake akazaa watoto wawili wengine. Sasa ikafika time ahamishie familia USA wale watoto watatu wa mwanzo DNA ni yake, wale wawili wadogo sio wake. Basi ikabidi aende na wale wake Mama akabaki na wale wadogo wawili bongo.

Lakini sijui kuliendaje miaka kadhaa baadae yule Mama nae akaenda USA lakini watoto wale wawili bado akawaacha bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaowa mke unamuacha unaenda nchi au mkoa mwingine....eti ukiulizwa unasema tunaaminiana...huku unasahau kuwa wana wanajisifu kwa kula kimasihara wake za watu...mimi mke wangu naongozana naye kama kivuli changu...popote niendako lazima awepo...

Mtu unaenda US unakaa huko 10 years..mkeo umemuacha YA..unataka amtomb...e nani sasa...ndo swala la kuto...mb..ewa linapokuja hapo...
 
NENDA KUANZIA MBEZI SHULE.MPAKA.GOIGI NYUMBA NYINGI ZINALEWA WATOTO HARAMU ACHATU WASIFIKE HUKOO N SHIDA SERKL ITENGUE KABISA HILI NENO DNA
 
Ndio Maana Waislam wakizikwa huzikwa kwa kutajwa jina la MAMA sio BABA wanawake wanasiri kubwa katika hili..

Hakika Allah anawajua viumbe vyake..
 
Wewe ndo umeipata leo?
Any way...hebu fikiria huyu baba halali wa mtoto anapata maumivu gani baada ya kuporwa watoto?
 
Back
Top Bottom