Dna test

MAKALA

Member
Mar 31, 2009
47
12

HABARI
Naomba isaidiwe familia hii njia nyepesi ya kufanya DNA TEST maana walipokwenda kwa mkemia mkuu wakaambiwa wapeleke barua toka mahakamani au ustawi wa jamii na walipoenda huko wakasema hawatoi barua labda tu kama kungekua na kesi ya kugombania mtoto.Sasa tumesikia kuna watu zaidi ya elfu mbili walishapimwa sijui hao wote walikua na kesi za kugombea watoto?.so tafazali kwa yule anaye jua namna rahisi ya kufanya ili niishauri ile familia waifuate.​
 
kama watu wanalipia vikwazo vya nini tena? watanzania bwana???!!!!!
 

HABARI
Naomba isaidiwe familia hii njia nyepesi ya kufanya DNA TEST maana walipokwenda kwa mkemia mkuu wakaambiwa wapeleke barua toka mahakamani au ustawi wa jamii na walipoenda huko wakasema hawatoi barua labda tu kama kungekua na kesi ya kugombania mtoto.Sasa tumesikia kuna watu zaidi ya elfu mbili walishapimwa sijui hao wote walikua na kesi za kugombea watoto?.so tafazali kwa yule anaye jua namna rahisi ya kufanya ili niishauri ile familia waifuate.​

Hapa unatakiwa ufafanue kuwa what DNA for? Ndich kintakiwa kieleweke ili kiingie kwenye system ya utafiti, kwani anatakiwa case worker/ mahakama/ ustawi wa jamii/ ndiye apeleke case hiyo with referrence; for example, barua kutoka mahakamani means that kuna case imefunguliwa mahamani na kesi siyo eti mtu afungwe au la, la hasha. Suala zima hapa is to keep referrence na quality assurance panel wanapofanya utafiti waje wakute kuna utaratibu wa kurekodi client reference. These are just cretria and procudres of these govt agencies. hakuna uzshi hapo.
 
Back
Top Bottom