Dkt. Wilsom Mahera simamia msimamo wako

Dkt. Wilsom Mahera simamia msimamo wako

Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​

Unajua maana ya impartial.....!!?
au ww ni std 7?
 
Screenshot_20200930-152855.png


Tuacheni upuuzi tunapoelekea si pazuri! Hao wote kwa pamoja wanaoshirikiana kukipitisha chama tawala uchaguzi huu watatupeleka pabaya! CCM inabidi ielewe watanzania wameichoka si kwa sababu ya vyama vya upinzani bali ni kutokana na ugumu wa maisha waliyouleta dhidi ya raia.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​
Tufahamishe Kama tume inamamlaka ya kuiamrisha polisi kuchukua,hatua na pia kwanini itumia maneno yenye kulenga upande Fulani? Na kwanini isichukue hatua sawa kwa wanaokiuka kanuni?
 
The Hague ni lugha ya Kukaririshwa tu, haiwezi kuisumbua Tanzania!
Hatufanyi Uchaguzi kwa kutishiwa na Wazungu wa huko hague, Tunafanya kwa kufuata Matakwa ya Sheria
Tume yetu ni Adilifu, Msio na maadili mtaimba sana ngonjera
haya maugoro nenda ukalishane na mataga wenzako.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​

 
Back
Top Bottom