Dkt. Wilsom Mahera simamia msimamo wako

Dkt. Wilsom Mahera simamia msimamo wako

Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​

Ni msimamo wake au wa kupewa?
 
Huyo Mahera asimsmie msimamo upi ? Wa kuvuruga uchaguzi? Anawaambia upinzani watangaze sera watu wanataka maji , miundombinu , afya haya Sasa sera Safi kabisa kutoka kwa baba yake mbona yeye hamwambia wananchi wanataka nini?View attachment 1585385
Wewe umesikia ulichotaka kusikia rudi kasikie na vingine
 
Unaandika kwa aya vizuri kumbe umeandika pumba tupu!

Eti wananchi wanataka umeme na barabara nzuri!Tokea lini mkurugenzi wa tume akawa msemaji wa wananchi?
kama anajua wananchi wanachokitaka hakuna haja ya uchaguzi atuteulie rais wa awamu ya sita.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​

Mahela, shikilia hapo hapo. Mpaka Tundu lizibe.
 
Ni kweli anatakiwa kusimama kwenye njia moja tu ya kusimamia Sheria asitishwe na vibaraka hawa ambao wanataka kutuharibia amani Yetu iliyolindwa kwa gharama sisi wananchi tupo pamoja nae kazi yake inaonekana zoezi hili atalimaliza kwa mafanikio makubwa Sana
Hakuna haki hakuna amani..ni uwoga tu
 
Akicheza na uchaguzi ajiandae dunia inafatilia kila kitu
 

Attachments

  • Screenshot_20200930_112839.jpg
    Screenshot_20200930_112839.jpg
    89 KB · Views: 7
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​
Ujinga huuu una mwisho wake na mwisho wake.ni mwaka huuu 28th oct 2020.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​
Kumwambia mtumishi hawajaongezewa mshahara kwa miaka 5 ni kupandikiza chuki?
Kusema uwanja wa ndege umejengwa chato bila kufuata sheria za manunuzi ni kupandikizachuki?
Kudai uhalali wa vitambulisho vya wamachinga kwamba ni sawa na kodi ya kichwa ya mkononi ni kupandikiza chuki?
Kusema ataleta maendleo ya watu Badala ya vitu ni kupandikiza chuki?
mahela hajajipanga
 
Nafasi ya Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepwaya. Nahisi kwa mara ya kwanza Tume ndo imempata Mkurugenzi aliyepwaya tangu kuundwa kwa NEC
Lazima apwaye, mpaka ajioe mikononi mwa Polepole et-al.
 
Kwanza nianze kwa kukupa pole, Pamoja na jukumu zito ulilo nalo la Kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020 ni wa kuaminika na shirikishi kwa Watanzania. Bado wapo Watanzania wachache kwasababu ya UBINAFSI wao wanataka kukutoa kwenye RELI, Usikubali!​

Umeianza Safari yako Vizuri sana na kwa weledi Mkubwa tangu uandikishaji wa Wapiga Kura ambapo kinyume na matarajio, Ulivuka lengo kwa kuongeza Wapiga Kura wapya zaidi ya Milioni Sita. Sisi Watanzania tunayaona Mafanikio haya Makubwa na yanayoweka Uhalali wa kazi unayoisimamia. Muamko Mkubwa wa Wananchi kuwa na hamu ya kupiga Kura na shauku yao ya kutaka kufahamu mambo mablimbali kuhusu Uchaguzi ni kiashiria cha mafanikio makubwa katika kufanikisha Mchakato huu Muhimu kwa Taifa Letu.​

Juzi nimekusikia ukiyasema mahitaji ya Watanzania kwa sasa wakati unuawaasa Wagombea kufuata Maadili ya Kampeni, Jambo ambalo ni sahihi na Ukweli Mtupu. Mahitaji yale yamewekwa pia katika ilani ya Vyama vyote vinavyoomba kura kwetu sisi Wananchi, Lakini Chama kimoja kimeibuka na kusema unafanyia kampeni chama kingine, hili linatafakarisha sana juu ya baadhi ya Wagombea wetu wanakotaka kutupeleka, Nakuhisi Daktari Usiwape nafasi, Simamia Msimamo wako huo huo.​

Maadili ya Kampeni ni Makubaliano ya vyama vyote vya siasa, hivyo tuseme vyama vyote vimeshiriki kikamilifu na wanajua nani akikosea awajibishwe wapi, kama ambavyo pingamizi zilifahamika sehemu sahihi ya kuzipeleka, Rufaa pia kwa baadhi ya wagombea waliojitambua. Naamini Malalamiko juu ya Maadili yana mahala pake pa kupelekwa zaidi ya Majukwaani ambako ukitafakari kwa kina Malalamiko hayo yanaposemwa jukwaani yana lengo moja tu kupandikiza chuki kwa Wananchi ili izae vurugu na Machafuko, Simama Imara hivyo hivyo.​

Ninaamini Msimamo wako ndio Msimamo wa Mwenyekiti wako Jaji Kaijage na Makamishna wake pia, Msikubali Vitisho vya watu wachache viwaondolee Credibility yenu na Legacy mliyoanza kuijenga. Naamini mtamaliza jukumu hili na Tanzania itabaki salama kuliko wakati mwingine wowote.​

Nimalize kwa kukupongeza kwa kuimarisha Uwazi na Ushirikishaji unaofanywa na Tume unayoisimamia keep it up Brother!​

Paragraph ya pili kutoka chini ingeanza kwa kusomeka hivi " Naamini msimamo wako ndio wa mwenyekiti wako wa Chama Cha Mapinduzi JPM..."
Wacha kuzungumka mbuyu wewe!
 
Ni kweli anatakiwa kusimama kwenye njia moja tu ya kusimamia Sheria asitishwe na vibaraka hawa ambao wanataka kutuharibia amani Yetu iliyolindwa kwa gharama sisi wananchi tupo pamoja nae kazi yake inaonekana zoezi hili atalimaliza kwa mafanikio makubwa Sana
Amani inaharibiwa na ukiukwaji wa sheria na upendeleo na sio vibaraka. Vibaraka ni ngumu sana kupata support kubwa wanayoipata sasa kwa wananchi kama kukiwa na haki, the problem that should be solved is within you MATAGAS
 
Paragraph ya pili kutoka chini ingeanza kwa kusomeka hivi " Naamini msimamo wako ndio wa mwenyekiti wako wa Chama Cha Mapinduzi JPM..."
Wacha kuzungumka mbuyu wewe!
Usiniwekee Maneno mdomoni, Nilichokiandika ndicho ninacho maanisha
 
huyo Mahere kuna pepo flani la The Hague limemuingia amejikuta anaropoka-ropoka.
The Hague ni lugha ya Kukaririshwa tu, haiwezi kuisumbua Tanzania!
Hatufanyi Uchaguzi kwa kutishiwa na Wazungu wa huko hague, Tunafanya kwa kufuata Matakwa ya Sheria
Tume yetu ni Adilifu, Msio na maadili mtaimba sana ngonjera
 
Kumwambia mtumishi hawajaongezewa mshahara kwa miaka 5 ni kupandikiza chuki?
Kusema uwanja wa ndege umejengwa chato bila kufuata sheria za manunuzi ni kupandikizachuki?
Kudai uhalali wa vitambulisho vya wamachinga kwamba ni sawa na kodi ya kichwa ya mkononi ni kupandikiza chuki?
Kusema ataleta maendleo ya watu Badala ya vitu ni kupandikiza chuki?
mahela hajajipanga
nayo yamesemwa na Mahera?
Mbona ule uongo wa kuwahadaa wananchi kuwa wakurugenzi,wanajipanga kumhujumu hujasema?
Mbona zile kampeni chafu za kuwapaka wagombea wenzie matope as if yeye ni malaika hujasema?
 
Back
Top Bottom