Mitandao na upambe wa kijinga wa vijana wa ufipa ndo umewaponza Wagombea wengi wa CDM katika Uchaguzi huu.
Sasa kwa Mfano Dr. Tulia aliwekeza nguvu nyingi zaidi katika kusaidia jamii na kujitoa katika matukio mbalimbali ya kijamii kabla na wakati wa uchaguzi, Ila ndugu yangu Sugu yeye alikuwa busy tu kufoka twiter na kujifariji mitandaoni na kwenye vyombo vya habari halafu unategemea kushinda.
Iwe fundisho kwa Wapinzani wote jaribuni kuwekeza nguvu kwa Wananchi huko na siyo kuendelea kubwabwaja tu huku online.
Upinzani Ni mhimu Sana katika kuleta maendeleo ya Taifa Ila lazima ujitambue kwanza.
Acha kumshirikisha Mungu kwenye wizi wenuHongera sana Dr. Tulia Ackson maana walikutukana hao wapinzani hasa wale wa vidole kama vya manati lakini Mungu mkubwa amekupigania. CCM Oyeeeee
Alijiongeza akajenga hotel pale mbeya..so huenda akaelekeza nguvu huko.Kwahiyo Sugu atarudi tena kwenye Rap...??
Kumbe hujui kitu,na kama unajua unajifanya kwa makusudi kutojua.Mitandao na upambe wa kijinga wa vijana wa ufipa ndo umewaponza Wagombea wengi wa CDM katika Uchaguzi huu.
Sasa kwa Mfano Dr. Tulia aliwekeza nguvu nyingi zaidi katika kusaidia jamii na kujitoa katika matukio mbalimbali ya kijamii kabla na wakati wa uchaguzi, Ila ndugu yangu Sugu yeye alikuwa busy tu kufoka twiter na kujifariji mitandaoni na kwenye vyombo vya habari halafu unategemea kushinda.
Iwe fundisho kwa Wapinzani wote jaribuni kuwekeza nguvu kwa Wananchi huko na siyo kuendelea kubwabwaja tu huku online.
Upinzani Ni mhimu Sana katika kuleta maendeleo ya Taifa Ila lazima ujitambue kwanza.
Halafu wewe unacheti fake cha chuo lazima nikuchome pambaf ndio utajua nimekujuaje.Alijiongeza akajenga hotel pale mbeya..so huenda akaelekeza nguvu huko.
Kanichome nimekuruhusu..unadhani kila mtu ni fake kama wewe.Halafu wewe unacheti fake cha chuo lazima nikuchome pambaf ndio utajua nimekujuaje
Wapinzani kwa kuvumilia ushenzi huu ,hatuwezi toboa jaribuni kuiga kwa Raila Odinga mjue kwa nini anaheshimika Kenya, au mfanye yale ya Corombia ili kuimaliza ccm. Watu wakufanya kazi hizo wapo.
Sugu asingepita ubunge hata iweje, wananchi wake walishamchoka kitambo. Yeye badala ya kuwapelekea maendeleo alikuwa bize kulumbana ili aonekane star bungeni huku akisahai wananchi wake.Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita, Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM ametangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametangazwa kupata kura 37,591 katika nafasi ya pili.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia
Tulia wewe mhujumu wa Elimu wenzako wanasoma wewe unatengeneza vyetiKanichome nimekuruhusu..unadhani kila mtu ni fake kama wewe.
Wapinzani kwa kuvumilia ushenzi huu ,hatuwezi toboa jaribuni kuiga kwa Raila Odinga mjue kwa nini anaheshimika Kenya, au mfanye yale ya Corombia ili kuimaliza ccm. Watu wakufanya kazi hizo wapo.
Nasubiria matokeo ya jimbo 1 tu la Kawe baaaasiii. Kama kipenzi changu Halima akifanyiwa uhuni huu kama ni barabarani nitaingia.
Ha ha ha haNasubiria matokeo ya jimbo 1 tu la Kawe baaaasiii. Kama kipenzi changu Halima akifanyiwa uhuni huu kama ni barabarani nitaingia.
Yeye kajifungia ndaniWafanye kina nani Mbona wewe Una jitoa
HahahahNasubiria matokeo ya jimbo 1 tu la Kawe baaaasiii. Kama kipenzi changu Halima akifanyiwa uhuni huu kama ni barabarani nitaingia.
Dear hongera sana kwa kupiga kura,Ila ukweli utabaki mwaka huu huyu fisiem wametuamulia yaani huez amini huyo Rashid Gwajima wanaweza wakamtangaza ameshinda. Akati mshindi ni Halima..Umeona Mbeya walichomfanyia suguNasubiria matokeo ya jimbo 1 tu la Kawe baaaasiii. Kama kipenzi changu Halima akifanyiwa uhuni huu kama ni barabarani nitaingia.