kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee Magufuli hali mbaya sana.
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa