GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kutokana na sakata la ajali ya mabomu ya Gongo la mboto, katibu mkuu wa CHADEMA amewapevua wananchi mawazo ya kuwa hivi sasa si wakati kuwalaumiana kuwa nani ajiuzulu au nani mwenye makosa, la msingi ni kuwahudumia majeruhi na wahanga wa mkasa huo ili warudi katika hali yao ya kawaida, kwani ajali haina kinga.
Hivyo basi, mie naungana nae mkono kabisa Mh. Slaa kwa kuwapevua mawazo watu wenye fikra mgando za kufikiria watu kujiuzulu na kuendeleza siasa za maji taka badala ya kuwahudumia wahanga.
Source : Mwananchi 21.02.2011
Hivyo basi, mie naungana nae mkono kabisa Mh. Slaa kwa kuwapevua mawazo watu wenye fikra mgando za kufikiria watu kujiuzulu na kuendeleza siasa za maji taka badala ya kuwahudumia wahanga.
Source : Mwananchi 21.02.2011