BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
DKT SAMIZI AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBONI, ATEMBELEA HOSPITALI YA KIBONDO. AHIMIZA UWAJIBAJI.
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi na ziara Jimboni.
"Ziara yangu siku hii, ni hapa Hospitali...🚑yetu ya wilaya kibondo nimetembelea wa gonjwa mbali mbali, nimeguswa na hali zao na nime wakumbusha kumtegemea Mungu,... na kuwakumbusha kuwa ni awamu tu! itapita".
Tunahitaji kuamini kua kilakitu kitakua sawa tukimtegemea Mungu🙏 tuna waombea Mungu wapone haraka nduguzetu hawa...nipende kutoa rai kwa wana kibondo na waTanzania wote tujenge utamaduni wakutembelea wagonjwa ili kuguswa na shuhuda za macho yetu...🩺-🛌
Pia nilikagua jengo la dharura na kuongea na mganga mkuu wa HOSPITAL ndugu @Henrychinyuka.
#SENSAkwamaendeleojiandaeKUHESABIWA
#KaziInandele...🇹🇿
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi na ziara Jimboni.
"Ziara yangu siku hii, ni hapa Hospitali...🚑yetu ya wilaya kibondo nimetembelea wa gonjwa mbali mbali, nimeguswa na hali zao na nime wakumbusha kumtegemea Mungu,... na kuwakumbusha kuwa ni awamu tu! itapita".
Tunahitaji kuamini kua kilakitu kitakua sawa tukimtegemea Mungu🙏 tuna waombea Mungu wapone haraka nduguzetu hawa...nipende kutoa rai kwa wana kibondo na waTanzania wote tujenge utamaduni wakutembelea wagonjwa ili kuguswa na shuhuda za macho yetu...🩺-🛌
Pia nilikagua jengo la dharura na kuongea na mganga mkuu wa HOSPITAL ndugu @Henrychinyuka.
#SENSAkwamaendeleojiandaeKUHESABIWA
#KaziInandele...🇹🇿