Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,658
- 20,992
Chama hakitacheza tena kamari ya kumuweka mtu asiyefahamika kwa kina, hatuta okota tena hovyo hovyo!Wapo wengi tu Watz wanaofanya vizuri wakipata nafasi, acheni ujinga wa mapambio
Chama hakitacheza tena kamari ya kumuweka mtu asiyefahamika kwa kina, hatuta okota tena hovyo hovyo!Wapo wengi tu Watz wanaofanya vizuri wakipata nafasi, acheni ujinga wa mapambio
Skendo ipi iyo?Ulijisafisha ile skendo yako mkuu?
Msemaji wa Serikali alipigilia msumari kuwa zile tuhuma zilikuwa kweliUlijisafisha ile skendo yako mkuu?
Ni kweliHuyu jamaa nilipishana naye hapa Dodoma mida ya usiku akiwa na mjibaba mmoja katika pozi ambalo si la kawaida, kuuliza nikaambiwa huyu jamaa ni shoga maarufu tu, sasa na hapa nimeangalia jinsi alivyokaa kuanzia macho yake, pua mpaka akili zake, Nakiri kuwa nimethibitisha kwamba huyu jamaa anafanya biashara chafu ya kuuza kinyeo hasa kwa viongozi.
Jinsia ya tatuSufiani
Pole sana kwa kumanga manga na siasa, Lakini kwa wewe hasa Fani yako ni nini?
Aache afe njaa?Mkuu, ile tabia ulishaiacha?
Hapo sasa!Nimesoma kidogo tu bandiko lako lakini naona unajichanganya, kama unamimin nchi ilikua chini ya mkoloni , ulirudi upande WA pili kusapoti hizo sera za kikoloni au za ukosefu WA uhuru?
DKT SAMIA, RAIS PENDWA WA DUNIA; MUASISI WA HAKI NA UHURU WA PILI TANZANIA.
Mimi ni mwanasiasa, ninaifanya Siasa kwa vitendo na sio kuisoma mtandaoni wala kuhadithiwa. Chama changu cha
Kwamba amedanganywa uteuzi ni ukimsifia Rais. Kimsingi mama Samia ana akili mingi anaona huu ni unafikiWewe Juma huna cha kuwambia watu wanaokujua. Ni njaa tu zinakutuma.
Ni mwasisi wa haki na uhuru. Mbona ulikuwa unawashabikia hao waliotowesha haki na uhuru ukawaita ni wazalendo?
Uteuzi hupati maana kila mtu anakujua unafanya hivyo kwa unafiki tu.