shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,191
- 2,119
GTs,
Kwa sisi watalaamu wachache wa historia, kama ulisoma kitabu cha utawala wa Warumi (Roman Empire), utakubaliana kuwa utawala wa Dkt Samia ni kama wa emperor Commodus. Yaani Dkt Samia toka mwanzo sisi wananchi wa kawaida tilimuuma masikio kuwa Mama kuna wanakuhujumu achana na safari za nje nenda kwa wananchi wasikilize ila Mama hakutusikia kabisa. Tukamwambia tena Mama uliowapa rungu wanakuhujumu yaani akaziba masikio. Sasa inaonekana ni dhahili Dkt Samia anatakiwa kujitokeza zaidi kwa watanzania ili wamuelewe ktk kipindi hiki kifupi. Je inawezekana kuwawahi wabaya wake?
Kwa sisi watalaamu wachache wa historia, kama ulisoma kitabu cha utawala wa Warumi (Roman Empire), utakubaliana kuwa utawala wa Dkt Samia ni kama wa emperor Commodus. Yaani Dkt Samia toka mwanzo sisi wananchi wa kawaida tilimuuma masikio kuwa Mama kuna wanakuhujumu achana na safari za nje nenda kwa wananchi wasikilize ila Mama hakutusikia kabisa. Tukamwambia tena Mama uliowapa rungu wanakuhujumu yaani akaziba masikio. Sasa inaonekana ni dhahili Dkt Samia anatakiwa kujitokeza zaidi kwa watanzania ili wamuelewe ktk kipindi hiki kifupi. Je inawezekana kuwawahi wabaya wake?