Dkt. Ndumbaro awataka viongozi kuwa watatuzi wa migogoro na siyo chanzo cha migogoro

Dkt. Ndumbaro awataka viongozi kuwa watatuzi wa migogoro na siyo chanzo cha migogoro

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya msaada wa Kisheria ya Mama Samia mkoani Kagera, Waziri wa sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewata viongozi kuwa watatuzi wa migogoro na siyo kuwa vyanzo vya migogoro.

Aidha amewataka viongozi ngazi ya mkoa hadi kijiji kutumia njia mbadala kwa ajili ya utatuzi badala ya kutumia njia ya kwenda kwenye vyombo vya sheria mara kwa mara, ama kusubiri ujio wa viongozi wa kitaifa

 
..Dr.Ndumbaru ndiye waziri anayekwamisha Reforms katika Katiba na Mifumo yetu. Huyu bwana anamshauri vibaya Raisi.
 
Back
Top Bottom