kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Mwigulu alipewaje uwaziri wa fedha?Mtu ana skendo mbaya na rekodi mbaya?
Unajua kusema kweli mwigulu hakustahili kuwa hata mbunge
Huyu jamaa hana rekodi nzuri ya utendaji ameshafukuzwa wizara kibao.
Sio mwaminifu, sio mtendaji, hajui uchumi, hajui fedha, nashangaa sana kweli hiyo nafasi angepewa hata Dr kimei, au profesa mussa Assad.
Nashindwa kujua mtu ambaye ana rekodi ya visasi, hana kauli nzuri, ana rekodi mbaya ya utendaji anapewa wizara nyeti namna hiyo
Watanzania jiandaeni kupigwa, yaani mtapiga kweli kweli, mwigulu ni janja janja flan hivi sio mwaminifu kabisa, ni mchumia tumbo
Pia mnakumbuka kuna ripoti iliyowahi kutoka nadhani 2017 ikiwataja mawaziri,vigogo na watu maarufu Tanzania wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya?nadhan ile ripoti ilikua ya kenya tena iliwekwa humu ngoja nitafute huo uzi niulink hapa, kwa kifupi ni kuwa ilimtaja mwigulu kuwa naye yumo.
Watanzania mtajuta kuwekwa kwa huyu mtu wizara ya fedha muda si mrefu, siku itafika tu
Unajua kusema kweli mwigulu hakustahili kuwa hata mbunge
Huyu jamaa hana rekodi nzuri ya utendaji ameshafukuzwa wizara kibao.
Sio mwaminifu, sio mtendaji, hajui uchumi, hajui fedha, nashangaa sana kweli hiyo nafasi angepewa hata Dr kimei, au profesa mussa Assad.
Nashindwa kujua mtu ambaye ana rekodi ya visasi, hana kauli nzuri, ana rekodi mbaya ya utendaji anapewa wizara nyeti namna hiyo
Watanzania jiandaeni kupigwa, yaani mtapiga kweli kweli, mwigulu ni janja janja flan hivi sio mwaminifu kabisa, ni mchumia tumbo
Pia mnakumbuka kuna ripoti iliyowahi kutoka nadhani 2017 ikiwataja mawaziri,vigogo na watu maarufu Tanzania wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya?nadhan ile ripoti ilikua ya kenya tena iliwekwa humu ngoja nitafute huo uzi niulink hapa, kwa kifupi ni kuwa ilimtaja mwigulu kuwa naye yumo.
Watanzania mtajuta kuwekwa kwa huyu mtu wizara ya fedha muda si mrefu, siku itafika tu