Uchaguzi 2020 Dkt. Mwele Ntuli Malecela anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2020

Tanzania bado haiko tayari kwa rais mwanamke, hata wewe hautampigia kura!

Sisi hatuangalii jinsia, tunajali kiongozi mwenye akili timamu tu. Kama wewe unaongozwa na mfumo dume hiyo ni kimpango wako.
 
Sisi hatuangalii jinsia, tunajali kiongozi mwenye akili timamu tu. Kama wewe unaongozwa na mfumo dume hiyo ni kimpango wako.
Na wewe pia unaongozwa na mfumo dume ni kwamba umeamua kuwa mnafiki hadharani...
 
Huyu mama kuwa juu baada ya kutumbuliwa kuna wanateseka Sana hawaishi kumtajataja.Walitegemea angekuwa ombaomba
 
2020 Oktoba hatufanyi makosa kuwachagua watu ambao wamelifanya Taifa la Tanzania kama kisiwa, hatutaki viongozi ambao wanaingilia kazi za wataalamu.

Dr Mwele, huyu mama anafaa kabisa kuwa kiongozi, Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Diplomasia ya nchi yetu ipo chini sana, tunasuguana na mataifa ya nje na taasisi za kimataifa kitu ambacho si kizuri katika uchumi wa nchi.

Kwa kipindi cha miaka 5 Taifa limepoteza mwelekeo, hatuna sera, tunachukua hili likishindikana mabeberu wananyonshewa vidole kumbe kama nchi imekosa plan.

Tanzania bora,yenye uchumi imara inakuja kama huyu Mama atakuwa Rais wa Tanzania.

Dr Mwele karibu Tanzania, wewe ndo mama usiye ogopa chochote, mwanamke imara,unafaa kuwa Rais wa Tanzania kwa sasa, tunakuhitaji Oktoba.

Wanawake tutakusapoti na una kura nyingi za vijana na akina mama.

Oktoba 2020 twende na Dr Mwele Malecela.

Nitashangaa kama kanda ya kati watampinga huyu mama na huku Kanda ya ziwa ni mbele kwa mbele.
Kumbe na wewe Mgogo. Baba yake Dr. Mweli mzee Malechela alionjeshwa Uwaziri Mkuu tu akataka kuiweka nchi rehani kwenye IOC. Huyo Dr. Mwele kapewa NIMRI Mabeberu wakamwambia atangaze Tanzania kuna ugonjwa wa Zika, Magufuli akatambaa naye kwenye chaki na waliomtuma wakamteua huko mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom