Dkt. Mwami, Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Bila uasi hakuna jambo lolote litakalotekelezwa

Dkt. Mwami, Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Bila uasi hakuna jambo lolote litakalotekelezwa

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
Dkt. Mwami, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amezungumzia umuhimu wa kuifufua upya harakati za Upan-Africanism kwa kuanza upya misingi yake ili kuikomboa Afrika. Amesisitiza kuwa uasi si jambo baya, hasa pale ambapo mtu anaamua kuasi mifumo kandamizi kwa lengo la kujikomboa.

Hata wanangu wa kike nawaambia kama waume zao wanawapiga, wafanye uasi!


 
Dkt. Mwami, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amezungumzia umuhimu wa kuifufua upya harakati za Upan-Africanism kwa kuanza upya misingi yake ili kuikomboa Afrika. Amesisitiza kuwa uasi si jambo baya, hasa pale ambapo mtu anaamua kuasi mifumo kandamizi kwa lengo la kujikomboa.

Hata wanangu wa kike nawaambia kama waume zao wanawapiga, wafanye uasi!
Naunga mkono hoja
 
Ana articles ngapi kuhusu uasi?
 
Dkt. Mwami, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amezungumzia umuhimu wa kuifufua upya harakati za Upan-Africanism kwa kuanza upya misingi yake ili kuikomboa Afrika. Amesisitiza kuwa uasi si jambo baya, hasa pale ambapo mtu anaamua kuasi mifumo kandamizi kwa lengo la kujikomboa.

Hata wanangu wa kike nawaambia kama waume zao wanawapiga, wafanye uasi!


View attachment 3397004
Mifumo kandamizi ni ya kuasi. Watu wansdhani uasi ni dhambi.

Ninapoamua kuokoka na kumcha Mungu maama yake nimemuasi Shetani.
 
Hahaha wampe ukuu wa wilaya tuone kama ata linda kauli yake.

Mwakyembe alitoachapisho kuhusu muundo wa muungano akiunga mkono serikali tatu, alipoingia serikalini akageuka.
Mwakyembe ni kama tu wale waliopafananisha Udsm na jalala.
 
Dkt. Mwami, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amezungumzia umuhimu wa kuifufua upya harakati za Upan-Africanism kwa kuanza upya misingi yake ili kuikomboa Afrika. Amesisitiza kuwa uasi si jambo baya, hasa pale ambapo mtu anaamua kuasi mifumo kandamizi kwa lengo la kujikomboa.

Hata wanangu wa kike nawaambia kama waume zao wanawapiga, wafanye uasi!


View attachment 3397004
Ameweka hoja. Zuri sana

But he is one of our problems… ameshaasi mara ngapi?

Against dhuluma pale udsm, kwenye jamii yake na kwa wanafunzi wake?
 
How would you insist on mass revolution against people who aren't establishing all policies, we are been trapped in a way that we think our fellows are the enemies while they're always trying to prevent things that would affect the whole system
 
Back
Top Bottom