Ni nani huyu? Binafsi simfahamu na anadai Dunia nzima inamfahamu...mimi nipo Duniani sijaenda hata sayari ya karibu tu hapo. Nadhani pia anapaswa apunguze jazba. Ajielezee kwa utulivu mzuri. Amani haichafuki kirahisi kama anavyodhani. Na pengine anataka kuza jambo hilo analolizungumzia. Huyo Mwaka ni nani mpaka achafue amani? Some people are just to be ignored.