tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Kumekuwa na malumbano Bungeni kiasi cha mmoja wa Naibu waziri kulia mbele ya kamati moja kushindwa kutekeleza miradi huku akidai kuwa pesa kutoka wizara ya fedha haijatolewa.
Spika amelitolea maelezo na kumlalamikia waziri wa fedha kwa kushindwa kutoa fedha kwa wakati na mara nyingine kutozitoa kabisa na kausababisha miradi mingi kutotekelezwa
Wizara ta fedha imekalia fedha za korosho,fedha za REA na kusababisha hali mbaya katika hayo maeneo.
Na mbaya zaidi katika Wizara ya fedha iko kimya kabisa kuhusu kwanini inashindwa kutoa fedha
Spika amelitolea maelezo na kumlalamikia waziri wa fedha kwa kushindwa kutoa fedha kwa wakati na mara nyingine kutozitoa kabisa na kausababisha miradi mingi kutotekelezwa
Wizara ta fedha imekalia fedha za korosho,fedha za REA na kusababisha hali mbaya katika hayo maeneo.
Na mbaya zaidi katika Wizara ya fedha iko kimya kabisa kuhusu kwanini inashindwa kutoa fedha