kabisa ukweli!!!!!!!! truth shall set us freeeeeeeeKujitetea ni kitu cha kawaida popote pale hata kama una kosa au huna. Tuseme nikimkosoa mleta mada kuwa kaandika pumba hivi kweli mtoa mada hato jitetea?, so ni haki yake mkuu kutetea hali waliyo nayo ila ukwli na uwongo tafuta mwenyeo wewe unaetaka kujua hali ilivyo na mwisho wa siku utafanya maamuzi unayo yapenda. But the true is......
We are being targeted while they are sitting safe and sound in their palaces
mchambe huyo sijui ni kula kulala hahah !!!!!!!kazi yake kukariri watu hawalipi kodi utazani kamezeshwa sumu na sangoma mana kutokulipa kodi ndo wimbo wa Taifa.Acha umbulula wewe kama jpm anaamini na kutoa matamko tena kwenye matangazo ya TRA kuwa nchi haiwezi kupata maendeleo bila kukusanya kodi sasa leo kodi imepungua karibu 50% ya makusanyo hayo maendeleo yatatoka wapi. Tuache unafiki. Kwanza umewahi kwenda bandarini siku za karibuni au unaleta pumba zako humu?
Nililisema hili kitambo.Si kila wakati watu hubisha kufanya mambo bila ya sababu!
Mpango angewaita wafanya biashara na kuzungumza nao! Labda angejifunza mengi toka kwao pia!
Hizi mentality za kuona wafanyabiashara ni evils ni mbaya sana!
Mimi nilisema hili. Nilisema hili la China ni changa la macho tu.Suala la kulipa kodi naliunga mkono kwa asilimia MIA MOJA, kuhusu sababu ya kuyumba soko la China kutu affect moja kwa moja namna hii, SIKWELI nakasirika sana majibu mepesi mepesi ya msomi nguli kama huyu. Kwa nini asishushe details zenye kueleweka??yaani haya majibu yana kera sana, jibu hoja kwa maelezo ya kina ili hata sisi raia wa kawaida tukuelewe na tunufaike na usomi wako, sasa hii maana yake nini?? Wafanyabiashara wanasema hili, waziri anajibu vile?? Kwa nini waziri usionyeshe na kupangua hoja ya Wafanyabiashara, then ukaendelea na maelezo zaidi, hata ikibidi ukatupa na projection ya mambo yatakavyokuwa. Au tatizo ni hawa waandishi makanjanja?? Habari za Tanzania zinakera sana, huwezi soma kitu ukapata points za maana, Wafanyabiashara wanalalamikia hili, waziri anajibu lile, waandishi want report hivi! Ni mwendo wa vurugu mechi.
"Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliyechangia senti kwenye kampeini uchaguzi uliopita"!
Mnataka kutuaminisha kuwa bandali ya mombasa iliyishehen makontena inatokana na ukwepaji kodi? Vip bandali ya S.A je?HATUA ya kupungua kwa mizigo inayotoka nje ya nchi kwenye Bandari ya Salama haitokani na ongezeko la kodi, anaadika Regina Mkonde.
Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mpango amesema kuwa, pamoja na kuwepo kwa madai kwamba, mizigo kutoka nje ya nchi imepungua kutokana na ongezeko la kodi “kauli hii si ya kweli.”
Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo katika mkutano wa uorodheshwaji wa hisa kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mpango amefafanua kuwa, kuyumba kwa soko la China ndiyo sababu ya mizigo hiyo kupungua kwa kuwa, Tanzania inashirikiana na nchi hiyo katika masuala ya kiuchumi.
“Muangalie uchumi wa China unavyokwenda, soko lake limepungua ulimwenguni, kutokana na sababu ya nchi kuwa na ushirikiano wa kiuchumi na china kumeathiri.
Kodi haiathiri chochote kile, na kelele zote zinazoendelea zinafanywa na wale wakwepa kulipa kodi.
“Waambie waache porojo, waende kwenye takwimu, hata kwa nchi jirani ya Kenya mizigo inayoingia imepungua kwenye Bandari ya Mombasa. Waende wakapate ripoti.”
Amesema kuwa, serikali ipo makini na wafanyabishara ambao hawataki kulipa kodi.
“Walipe kodi tu ili serikali iweze kuwahudumia, haiwezekani bandari itoe huduma kwa wafanyabiashara pasi na wao kulipa kodi, hapana.”
Magufuli pale alichemsha sana.
Rais anakuwa anti business mpaka anawatukana wafanyabiashara wote kama wezi kwa lugha hii.
Kwa minajili hii uchumi lazima uyumbe.
yes, walipe kodi sio kubaki kuiombea nchi njaa ili wao washibe. hawa wakwepa kodi sio watu wema.HATUA ya kupungua kwa mizigo inayotoka nje ya nchi kwenye Bandari ya Salama haitokani na ongezeko la kodi, anaadika Regina Mkonde.
Dk. Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mpango amesema kuwa, pamoja na kuwepo kwa madai kwamba, mizigo kutoka nje ya nchi imepungua kutokana na ongezeko la kodi “kauli hii si ya kweli.”
Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo katika mkutano wa uorodheshwaji wa hisa kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mpango amefafanua kuwa, kuyumba kwa soko la China ndiyo sababu ya mizigo hiyo kupungua kwa kuwa, Tanzania inashirikiana na nchi hiyo katika masuala ya kiuchumi.
“Muangalie uchumi wa China unavyokwenda, soko lake limepungua ulimwenguni, kutokana na sababu ya nchi kuwa na ushirikiano wa kiuchumi na china kumeathiri.
Kodi haiathiri chochote kile, na kelele zote zinazoendelea zinafanywa na wale wakwepa kulipa kodi.
“Waambie waache porojo, waende kwenye takwimu, hata kwa nchi jirani ya Kenya mizigo inayoingia imepungua kwenye Bandari ya Mombasa. Waende wakapate ripoti.”
Amesema kuwa, serikali ipo makini na wafanyabishara ambao hawataki kulipa kodi.
“Walipe kodi tu ili serikali iweze kuwahudumia, haiwezekani bandari itoe huduma kwa wafanyabiashara pasi na wao kulipa kodi, hapana.”
Propaganda za kitoto SEMENI UKWELI NCHI INAYUMBA SANA