Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,084
Si kama Magu alipokuja na kujidai alikuwa Indonesia...anashangaa kila kitu wakati alikuwa waziri na mbunge for 20 years.Yeye alikuwa waziri wa fedha.
Bajeti yote ilipita kwake..
Anashangaa kama katokea nje ya nchi kaja leo?