Dkt. Mpango ashangazwa kuagiza mapanga na vifungashia, na SIDO wapo kwa miaka 48

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,862
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameiagiza wizara ya Viwanda na Biashara kufanya tathmini ya kweli kwenye Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), limefanikiwaau kushindwa kwa kiasi gani katika kuleta tija katika kutekeleza wa malengo ya kuanzishwa kwake kwa miaka 48 iliyopita.

Akizungumza leo, Septemba 22, 2021 baada ya kufungua maonesho ya tatu ya shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), kitaifa yaliyofanyika katika kiwanja cha Umoja, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, amesema anasikitika kuona hadi panga na vifungashio wanaagiza kutoka nje ya nchi Shirika la SIDO wanakwama wapi.

Amesema katika tathmini hiyo watakwenda na mapendekezo ya mikakati mipya itakayopelekea Tanzania kuweza kukidhi mahitaji ya uchumi wa kati ya mashine ndogo,za kati,vipuri,bidhaa na huduma katika karne ya 21.

"Wiziri wa Viwanda na Biashara uhakikishe na isimamie utekelezaji wa zoezi hilo na unipatie mrejesho kupitia kwa Waziri Mkuu," amesema Makamu wa Rais Mpango.

Awali akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC), Samweli Gamakwa amesema baadhi ya shughuli za uwekezaji zimekuwa zikifanywa na wajasiriamali bila kuangalia athari za shughuli zao katika mazingira.

Amesema hivyo kuwataka wajasiriamali kufika kupata Elimu katika ofisi zao ili uwekezaji wanaoufanya usilete athari za kimazingira.
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameiagiza wizara ya Viwanda na Biashara kufanya tathmini ya kweli kwenye Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), limefanikiwaau kushindwa kwa kiasi gani katika kuleta tija katika kutekeleza wa malengo ya kuanzishwa kwake kwa miaka 48 iliyopita.

Akizungumza leo, Septemba 22, 2021 baada ya kufungua maonesho ya tatu ya shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), kitaifa yaliyofanyika katika kiwanja cha Umoja, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, amesema anasikitika kuona hadi panga na vifungashio wanaagiza kutoka nje ya nchi Shirika la SIDO wanakwama wapi.

Amesema katika tathmini hiyo watakwenda na mapendekezo ya mikakati mipya itakayopelekea Tanzania kuweza kukidhi mahitaji ya uchumi wa kati ya mashine ndogo,za kati,vipuri,bidhaa na huduma katika karne ya 21.

"Wiziri wa Viwanda na Biashara uhakikishe na isimamie utekelezaji wa zoezi hilo na unipatie mrejesho kupitia kwa Waziri Mkuu," amesema Makamu wa Rais Mpango.

Awali akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC), Samweli Gamakwa amesema baadhi ya shughuli za uwekezaji zimekuwa zikifanywa na wajasiriamali bila kuangalia athari za shughuli zao katika mazingira.

Amesema hivyo kuwataka wajasiriamali kufika kupata Elimu katika ofisi zao ili uwekezaji wanaoufanya usilete athari za kimazingira.
Huyu jamaa huwa ni mpuuzi sana,hata hiyo PHD yake ipo kwenye makaratasi tu,
Yeye anafikiri hao viongozi wa SIDO waliamka asubuhi wakasitisha kuzalisha na kutengeneza zana za kilimo!??
Kushindwa kwa Sido,ndio kushindwa kwa UFI,Urafiki,mwatex,sungura Tex,general tyre,sera mbovu za ccm ndio zimetufikisha hapo.
Shirika kama SIDO hujengwa kwa kupewa rasilimali fedha kwanza,
ATCL imepewa Ndege kibao lakini,Haina hata Mpango wa biashara
 
Yaani hata yeboyebo za plastiki pia zinatoka china?!
Hivi china kweli hahusiki hapa kwenye serikali kuweka sera mbovu za viwanda?
Plastic pia jamaniiii! Wakati zamani viwanda kibao vya plastick
Sio bure na china huyuuu mmhhh
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameiagiza wizara ya Viwanda na Biashara kufanya tathmini ya kweli kwenye Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), limefanikiwaau kushindwa kwa kiasi gani katika kuleta tija katika kutekeleza wa malengo ya kuanzishwa kwake kwa miaka 48 iliyopita.

Akizungumza leo, Septemba 22, 2021 baada ya kufungua maonesho ya tatu ya shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), kitaifa yaliyofanyika katika kiwanja cha Umoja, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, amesema anasikitika kuona hadi panga na vifungashio wanaagiza kutoka nje ya nchi Shirika la SIDO wanakwama wapi.

Amesema katika tathmini hiyo watakwenda na mapendekezo ya mikakati mipya itakayopelekea Tanzania kuweza kukidhi mahitaji ya uchumi wa kati ya mashine ndogo,za kati,vipuri,bidhaa na huduma katika karne ya 21.

"Wiziri wa Viwanda na Biashara uhakikishe na isimamie utekelezaji wa zoezi hilo na unipatie mrejesho kupitia kwa Waziri Mkuu," amesema Makamu wa Rais Mpango.

Awali akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC), Samweli Gamakwa amesema baadhi ya shughuli za uwekezaji zimekuwa zikifanywa na wajasiriamali bila kuangalia athari za shughuli zao katika mazingira.

Amesema hivyo kuwataka wajasiriamali kufika kupata Elimu katika ofisi zao ili uwekezaji wanaoufanya usilete athari za kimazingira.
hata mm nashangaa na sikutegemea makamu wa rais angetoa kauli kama hiyo.kuna mambo mengi yanayokwamiza Sido kufanya kazi kwa ufanisi.kuna tatizo la kisera,kiuchumi pia hata kimuundo.ajiulize kwanza hao watendaji wa Sido wanapatikanaje kuanzia juu hadi chini.sera ikoje na pia serikali imeiwezeshaji sido kifedha.aanzie huko.changamoto zinazoikabili sido ni zile zile ambazo mashirika mengine yaliyokufa yalipitia.
 
Ndio huyu huyu alikuwa fedha

Hivi huwa hawajifunzi kwa wenzao?

Gordon Brown alikuwa waziri wa fedha na baada ya kuwa PM alipaisha uchumi na tulishiba kwa kila sekta
Kwa sababu alikuwa kwenye fedha na anajua kila kitu

Hapa tunapitia kule kule ila hatujua jana tulinunua nini
 
Hizo ni siasa. Anashangaaje?
Yeye anaishi Tanzania ipi kushindwa kuelewa ukweli wa maisha halisi?
 
Viongozi wa nchi hii hawaishi maajabu Kama taifa mpaka Sasa inaanzisha kampeni ya nyumba ni choo kitaifa taifa hilo litashindwa vipi kuangiza mapanga nje ya nchi
Si bora nyumba ni choo,kuna kampeni ya tohara huko kanda ya ziwa,jibaba zima lina mkono wa sweta karne hii
 
Miaka yote hii akiwa Waziri kwanini hakuwahi kushangaa hadi hii leo? Au alikuwa haijui SIDO!?

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameiagiza wizara ya Viwanda na Biashara kufanya tathmini ya kweli kwenye Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), limefanikiwaau kushindwa kwa kiasi gani katika kuleta tija katika kutekeleza wa malengo ya kuanzishwa kwake kwa miaka 48 iliyopita.

Akizungumza leo, Septemba 22, 2021 baada ya kufungua maonesho ya tatu ya shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido), kitaifa yaliyofanyika katika kiwanja cha Umoja, wilayani Kasulu mkoani Kigoma, amesema anasikitika kuona hadi panga na vifungashio wanaagiza kutoka nje ya nchi Shirika la SIDO wanakwama wapi.

Amesema katika tathmini hiyo watakwenda na mapendekezo ya mikakati mipya itakayopelekea Tanzania kuweza kukidhi mahitaji ya uchumi wa kati ya mashine ndogo,za kati,vipuri,bidhaa na huduma katika karne ya 21.

"Wiziri wa Viwanda na Biashara uhakikishe na isimamie utekelezaji wa zoezi hilo na unipatie mrejesho kupitia kwa Waziri Mkuu," amesema Makamu wa Rais Mpango.

Awali akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC), Samweli Gamakwa amesema baadhi ya shughuli za uwekezaji zimekuwa zikifanywa na wajasiriamali bila kuangalia athari za shughuli zao katika mazingira.

Amesema hivyo kuwataka wajasiriamali kufika kupata Elimu katika ofisi zao ili uwekezaji wanaoufanya usilete athari za kimazingira.
 
Back
Top Bottom