T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,102
- 4,516
Regina machache auIshu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?Lydia kuna mtu namfananisha nae
Regina machache auIshu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?Lydia kuna mtu namfananisha nae
Niwe nakuwekea wapi sasa yale ninayoyakusanya ?
FA naye kapita kwa kidoti?Baada ya Mwana FA
Kwa habari hii inavyokwenda wawezakuta nawe jina lako linatajwa wakati hata huyo mbulgaria humjui................. mji mzito huu!!
Ohoo kalaghabahoFA naye kapita kwa kidoti?
Sasa mbona mmeongea tofautiW
Wewe ndiye mkweli story naikumbuka sana. Enzi hizo tunakutana sana jakys na didis o.bay
Yule anaingilika ila jongoo hapandi mtungi fresh si nayeye kabla hajaukwaa ukuu alikuwa anachumishwa kiboga.
KhaaaHawa sasa ndio walitakiwa wawe makada wa Chama Cha Mapinduzi!
KigomaKi asili Klyn ni mtu wa wapi ?
Nargis MohamedKuna haja ya hata wakat wa kunya ukahakikisha umelock vzur sio kwa kujuana huku. Mi naomba tu kujua yule mrembo sn alo act zari la mentali cjui ....mohamed yuko wap kwa sasa. Na kwanini hakupewa umiss. Anayejua acc yake insta anipe
Kwenye movie ya kanumba right?Nargis kuna wakati alikuwa anaigiza, ndio yule?
Yeah, hata Ray alishawahi kuigiza naeKwenye movie ya kanumba right?
Zile dizain ngumu kumezaSana na rangi pia, design zile kazini kuna jinsi unasikia kama umetoboa, kuna vimifupa fulani wanakuwa navyo kwa mbele vinajitokezaga unahisi kama vinakuchoma, vinanipaga mzuka sana.
Ah wengi sana.. Mange alikuwa mdangaji and very proud of it. Mtanzania mmoja alimla mpaka akazaa nae mtoto wa kwanza anaitwa Bhoke. Jamaa alikuwa muuza sura maarufu anaitwa Frank Gonga.
Huyo Bhoke ni cheusi mangala ndio maana Mange hapendi kumwonyesha sana mitandaoni
Ni waziri mkuu wa Kenya.Kinje ni nani?
😊Ni waziri mkuu wa Kenya.
Inaonekana Jocate anawapenda sana wakina John. Ndio maana imekuwa rahisi kubebwa na John mkubwa.